Ujue udanganyifu wa ‘Ponzi’ na chimbuko lake-1

Kwenye sekta ya fedha, kuna mifumo michache ambayo huleta hofu kwa wawekezaji na watu wa kawaida. Miongoni mwa mifumo hiyo ni “mfumo wa Ponzi.” Mfumo huo ulianza kujulikana karne ya 20 na uliitwa Ponzi kutokana na jina la Mwanzilishi ambaye aliitwa Charles Ponzi. Ponzi alizaliwa Lugo, Italia na akajulikana mwanzoni mwa miaka ya 1920. Aliwaahidi…

Read More

Arajiga kiboko ya Dabi, wasifu umenyooka

WAHENGA walisema ‘chanda chema huvikwa pete’, msemo ambao umejidhihirisha kufuatia uteuzi wa refa Ahmed Arajiga kutoka Manyara kuchezesha mechi ya Yanga na Simba, Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa uliofanywa na Kamati ya Marefa ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Taarifa iliyotolewa na Bodi ya Ligi (TPLB) jana imeeleza kuwa Arajiga ndiye atakuwa refa…

Read More

ORYX YAMWAGA FUTARI KWA RAMADHAN NA KWARESMA

*Ni kwa wateja watakao jaza gesi katika kipindi cha mfungo Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Oryx yashusha neema katika mwezi mtukufu wa Ramadhan na Kwaresma kwa wateja wake wataojaza gesi ya majumbani kupata zawadi ya futari ya Tambi ,Sukari pamoja maziwa ya Nazi. Akizungumza wakati wa Kufungua Duka la Oryx Msasani Mkuu wa Idara ya…

Read More

Kibu atoa kauli hii Dabi ya Kariakoo

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Kibu Denis amewapa mzuka mashabiki wa timu hiyo siku chache kabla ya kupigwa kwa Dabi ya Kariakoo kwa kuwaambia kwamba wasihofu kwa vile anawafahamu vyema mabeki wa Yanga na kuapa tripu hii, hawachomoki. Kibu anayeitumikia Simba kwa msimu wa tatu, amekutana na Yanga katika mechi 10 zikiwamo mbili za Ngao ya…

Read More

Yanga yaipiga bao Simba | Mwanaspoti

WAKATI ikibaki siku mbili kabla ya Yanga na Simba kukutana katika pambano ya Ligi Kuu Bara litakalopigwa Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, rekodi zinawabeba zaidi watetezi hao tofauti na Wekundu wa Msimbazi. Mchezo huu utakaokuwa wa 114, kwa timu hizi kukutana katika Ligi Bara tangu 1965, rekodi zinaonyesha Yanga imekuwa timu tishio kwa…

Read More

Profesa Sarungi afariki dunia | Mwananchi

Dar es Salaam. Waziri wa zamani na mbunge wa Rorya, Profesa Phelemon Sarungi (89) amefariki dunia jijini Dar es Salaam leo Machi 5, 2025. Kwa mujibu wa msemaji wa familia ya Chifu Sarungi, Martin Sarungi amethibitishia Mwananchi kuwa Profesa Sarungi amefariki dunia nyumbani kwake Oysterbay leo saa kumi jioni. Sarungi amesema Profesa Sarungi siku chache…

Read More