Davids Fadlu, Hamdi namba zinaongea

WANASEMA mchezo wa Dabi hauna mwenyewe. Mara kadhaa matokeo yake huwa ya kushangaza yakiwa hayajatarajiwa na wengi, lakini wakati mwingine wazoefu wana nafasi yao kubwa ya kufanya vizuri. Jumamosi hii kwenye Uwanja Benjamin Mkapa,Dar es Salaam, Yanga itakuwa mwenyeji wa Simba katika Kariakoo Dabi ya 114 kwenye Ligi Kuu Bara. Mchezo huo umebeba hisia nyingi…

Read More

Ligi Kuu Bara leo ni mechi za kimkakati

LIGI Kuu Bara imeanza kuchangamka kwani ngwe ya lala salama imezifanya kila timu iingie uwanjani ikiwa na mkakati mkali sana kulinganisha na ilivyokuwa awali. Duru la kwanza tumeshuhudia timu zikiwa na hesabu tofauti, nyingi zikionekana kutofanya vizuri ikiwemo KenGold na Pamba Jiji zilizopanda daraja, lakini duru la pili hakuna aliyekuja kinyonge, hata hao wageni wa…

Read More

Makamu mwenyekiti wa TLP Zanzibar afariki Dunia

Makamu mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party  (TLP), Zanzibar Hamad Mkadam amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, wakati akipatiwa matibabu ya afya kwenye moja ya hospitali kisiwani Pemba. Mkadam amefariki ikiwa ni mwezi mmoja na siku nne umepita tangu achaguliwa kuendelea kuhudumu kwenye nafasi hiyo katika uchaguzi uliofanyika Februari 2,2025 jijini Dar es Salaam….

Read More