Trump asitisha msaada wa kijeshi kwa Ukraine

Washington. Rais wa Marekani, Donald Trump, ameagiza kusitishwa kwa msaada wote wa kijeshi kwa Ukraine siku chache baada ya mvutano mkali kati yake na Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, katika Ikulu ya White House. Hatua hiyo imekuja baada ya mkutano wa faragha kati ya viongozi hao wawili, ambapo Trump anadaiwa kumpa Zelensky sharti la kukubali…

Read More

Tiba asili zinavyoweza kuharibu figo zako

Dar es Salaam. Kama wewe ni miongoni mwa watumiaji wa tiba asili, unapaswa kujua kwamba unaziweka hatarini figo zako. Hii ni kutokana na dawa nyingi za asili kutopitia mchakato wa kupimwa viwandani na kutoa majibu ni kiwango gani unapaswa kukitumia kujitibu, ambacho mwili unaweza kumudu au kustahimili nguvu ya dawa. Hayo yameelezwa na daktari mbobezi…

Read More

Serikali yapangua hoja za ACT-Wazalendo

Unguja. Siku chache baada ya ACT- Wazalendo kuitaka Serikali kuvunja mkataba wa uendeshaji wa Bandari ya Malindi kati ya Shirika la Bandari (ZPC) na Kampuni ya Africa Global Logistic (AGL) ya Ufaransa, Serikali imesema haina mpango kwa sababu kampuni hiyo imeonesha ufanisi mkubwa. Akizungumza leo Jumapili, Machi 2, 2025 na waandishi wa habari, Waziri wa…

Read More

‘Matumizi ya mifumo kuongeza usalama, uaminifu’

Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema Zanzibar inaendelea kupiga hatua katika kuimarisha matumizi ya teknolojia ili kuongeza usalama na kukuza uchumi wa Taifa na jamii kwa jumla. Abdulla amesema hayo katika hafla ya uzinduzi wa huduma ya kulipia mafuta kwa njia ya simu kupitia huduma ya lipia kwa simu…

Read More

Wataalamu wabaini aina mpya ya gugumaji Ziwa Victoria

Mwanza. Gugumaji jipya jamii ya Salvania SPP limebainika katika Ziwa Victoria, ambalo lina uwezo wa kuzaliana zaidi ya mara mbili hadi tatu kila baada ya siku nane, hivyo kufanya ongezeko lake kuwa kubwa ndani ya kipindi kifupi. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo Jumapili, Machi 2, 2025, Meneja wa Baraza la Taifa la…

Read More