Airpay yakabidhi Vishkwambi zitakavyotumiwa na ZEEA katika usajili, uombaji mikopo kidijitali

KAMPUNI ya Airpay imekabidhi vishkwambi kwa Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (ZEEA) ili viweze kutumika katika usajili na uombaji wa mikopo kwa njia ya kidijitali. Airpay na ZEEA kwa kushirikiana na taasisi nyingine za kifedha imetengeneza mfumo wenye lengo la kuwarahisishia wajasiriamali wa Zanzibar kupata mikopo kidijitali hivyo uwepo wa vishkwambi hivyo vitarahisisha shughuli hiyo….

Read More

ELIMU YA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA TAIFA GAS NA BARRICK YAENDELEA KUWAFIKIA WANANCHI

Mkufunzi kutoka kampuni ya Taifa Gas,Praygod Ole Naiko akionesha kwa vitendo matumizi ya jiko la gesi kwa washiriki wa mafunzoMmoja wa washiriki akionesha matumizi ya jiko la gesi kwa vitendo baada ya kuhitimu mafunzoMwakilishi wa Barrick, Mary Lupamba akiongea na washiriki wakati wa mafunzo hayoWashiriki wa mafunzo wakiimba kwa furaha wakati wa mafunzoBaadhi ya washiriki…

Read More

Kibu, Hamza kuna siri nzito Simba

SIMBA imerejea kambini jana tayari kwa maandalizi ya mchezo ujao wa Dabi ya Kariakoo, huku kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Kibu Denis akifichua beki Abdulrazack  Hamza, amekuwa kipimo kizuri mazoezini kwa namna anavyomkaba na imemrahisishia kazi katika mechi za mashindano, anapokutana na mabeki wa aina yake. Kibu alisema aina ya ukabaji wa Hamza sio rahisi…

Read More

UNDP na CRDB kuwaonyesha njia wajasiriamali wa Tanzania katika soko la Afrika

Dar es Salaam. Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) kwa kushirikiana na CRDB Bank Foundation wamezindua mwongozo rahisi kwa wajasiriamali wachanga, wadogo na wa kati (MSMEs), ukiwalenga kuongeza ushiriki wao katika Eneo Huru la Biashara la Afrika (AfCFTA). Mpango huo unalenga kuwawezesha MSMEs kwa kuwapatia nyenzo muhimu na maarifa yatakayowasaidia kupanua biashara zao…

Read More

WANAFUNZI TPC WADANDIA “KIBERENGE “CHA MIWA KURUDI MAKWAO ,ABC IMPACT WATOA BAISKELI

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya TPC wakionesha furaha yao wakati wakiendesha baiskeli zilizotolewana taasisi ya ABC Impact kama sehemu ya msaada ukilenga kuondoa changamoto ya usafiri kwa wanafunzi wanaoishimaeneo ya mbali na shule . Wanafunzi wa kike ndio wamekuwa walengwa wakubwa wa msaada wa Baiskeli uliotolewa na taasisi ya ABC katika kuwapunguzia changamoto yakutembea…

Read More

Ajali Yaua Watu 6 Dodoma – Global Publishers

Watu sita wamefariki dunia na wengine 49 wamejeruhiwa baada ya ajali kutokea eneo la Chigongwe, Dodoma, usiku wa Machi 3, 2025. Ajali hiyo ilihusisha basi la AN Classic lenye namba za usajili T405 BYS, lililokuwa likielekea Kigoma, na lori lililoharibika barabarani bila alama za tahadhari. Mashuhuda wamesema mwendokasi wa basi huenda ulichangia…

Read More