Dk Biteko: Rais Samia kawapaisha wanawake sekta ya madini

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameendelea kufungua fursa za kuwawezesha wananchi kiuchumi ikiwa ni pamoja na kutilia mkazo ushirikishaji wa wanawake katika uchimbaji wa madini wenye tija. Dk Biteko amesema  hayo jijini Dar es Salaam juzi aliposhiriki kongamano maalumu kuelekea maadhimisho Siku…

Read More

Ikanga Speed aiomba Dabi ya Kariakoo

YANGA imerudi kazini kuanza maandalizi ya kwenda kupambana na watani wao Simba waliorejea jijini Dar es Salaam juzi ikitokea Arusha, ilipoenda kucheza mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal Union, lakini kocha wa vinara hao, Miloud Hamdi akashtua kuwa zile dakika 21 alizompa winga mpya, Jonathan Ikangalombo ‘Ikanga Speed’, jamaa kama kanogewa. Lakini kama…

Read More

Sikufanya lolote baya kwa Trump – Global Publishers

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amekataa kuomba msamaha baada ya mabishano makali na majibizano ya maneno na mwenzake wa Marekani, Donald Trump katika Ikulu ya White House. Mkutano wa viongozi hao wawili katika Ofisi ya Oval, ambao hapo awali ulipangwa kukamilisha makubaliano ya kuipatia Marekani haki ya madini adimu ya Ukraine, uligeuka…

Read More

Magari yagongana Moro, wawili wafariki

Morogoro. Watu wawili wamethibitika kufariki dunia papohapo katika tukio la ajiali lililohusisha magari mawili kugongana uso kwa uso na kuwaka moto katika eneo la nanenane Manispaa ya Morogoro barabara kuu ya Morogoro Dar es Salaam. Ajali hiyo imetokea saa saba usiku wa kuamkia leo Machi 04, 2025. Magari hayo mawili moja ni lori la mafuta…

Read More

TANZANIA YAVUNJA REKODI ONGEZEKO LA WANYAMAPORI

  Na Emmanuel Buhohela – Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amesema ongezeko la idadi ya Wanyamapori katika hifadhi za Wanyama hapa nchini imetokana na juhudi za serikali kushirikisha wadau wa uhifadhi wa Wanyamapori na wananchi kwa ujumla hali iliyopelekea kukua kwa utalii na uchumi katika Taifa. Ameyasema hayo leo…

Read More

Fadlu aipata dawa ya Yanga | Mwanaspoti

HOMA ya pambano la Dabi ya Karikoo, imeanza kupanda mapema kwa mashabiki wa Simba na Yanga, kila mmoja akitamba kupta ushindi, japo wale wa Simba wanaonekana kuwa wanyonge mbele ya wenzao kutokana na kupoteza mechi nne mfululizo zilizopita katika mashindano tofauti. Hata hivyo, kocha mkuu wa Simba, Fadlu Davids ameshtukia jambo na fasta akawatoa hofu…

Read More

Nafuu kwa bajaj, magari yanayotumia gesi Dar

Dar es Salaam. Huenda sasa kilio cha foleni kwa wanaotumia vyombo vya moto vya gesi kikapungua kutokana na ongezeko la vituo vya kujazia gesi, wachambuzi wanasema manufaa si tu kwa kundi hilo. Matumizi ya gesi asilia kwenye magari kawaida huokoa gharama kwa zaidi ya asilimia 50 ikilinganishwa na dizeli na petroli. Kwanza, gesi huuzwa bei…

Read More

BENKI YA CRDB, UNDP zazindua programu kuwasaidia wafanyabiashara kufikia Soko Huru la Afrika (AfCTA)

Taasisi ya CRDB Bank Foundation (CBF) kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa (UNDP), leo wamezindua mwongozo uliorahisishwa kwa wajasiriamali wadogo na wa kati nchini wenye fursa za kuwaunganisha na Soko Huru la Afrika (AfCTA) utakao wawaongezea uwezo na maarifa zaidi ili waweze kupanua biashara zao kote barani Afrika. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo…

Read More