
‘Msiingilie mchakato uboreshaji daftari la kuduma la mpigakura’
Njombe. Mawakala na viongozi wa vyama vya siasa wametakiwa kuzingatia sheria kwa kutoingilia mchakato wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapigakura kwenye vituo. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma za Sheria wa Tume Huru ya Uchaguzi, Mtibora Selemani, kufanya hivyo ni kwenda kinyume na sheria za uchaguzi. Akizungumza leo Jumatano Januari Mosi,…