Ukuaji wa watoto nchini waiibua serikali

Dodoma. Zaidi ya nusu ya watoto nchini hawako katika ukuaji sahihi unaotakiwa huku ikielezwa kuwa hali hiyo inaweza kuongezeka ikiwa juhudi za makusudi hazitachukuliwa. Takwimu hizo zimetolewa leo Februari 28,2025 jijini Dodoma na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dk Dorothy Gwajima wakati akifungua mafunzo ya waandishi wa habari wanaojisisha na…

Read More

DKT. MWAMBA ATETA NA BALOZI WA JAPAN

Na. Josephine Majura WF, Dodoma Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha Dkt. Natu El-maamry Mwamba, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Mhe. Yoichi Mikami, kilichofanyika jijini Dodoma, ambapo walijadili namna ya kuimarisha ushirikiano kati ya nchi hizo mbili katika nyanja mbalimbali za kiuchumi na kijamii.  Dkt. Mwamba, aliishukuru Serikali ya Japan kwa…

Read More

WAZAZI WATAKIWA KUENDELEA KUWAHIMIZA WATOTO KUPENDA ELIMU

Afisa Mkuu Mtaala Mwandamizi wa Taasisi ya Elimu Tanzania(TET), Dk. Joyce Kahambe amewasihi wazazi waendelee kuwahimiza watoto wapende elimu na kufanyia kazi ujuzi wanaojifunza shuleni katika shughuli zao mbalimbali ikiwemo kilimo, ufugaji mziki na mengine hatakama wanataaluma zao. Hayo ameyasema leo Februari, 28 Wilaya ya Kisarawe Mkoani Pwani na Dk.Kihambe wakati wa Mahafali ya saba…

Read More

OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YASHIRIKI MKUTANO WA MAJADILIANO YA KIMKAKATI WA NGAZI ZA JUU 2025

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, imeshiriki katika Mkutano maalumu wa Majadiliano ya Kimkakati ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya 2050. Mkutano huo umefanyika tarehe 28 Februari, 2025 Jijini Dodoma. Mkutano huo uliwahusisha Mawaziri kutoka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mabalozi wanaoziwakilisha nchi mbalimbali hapa nchini. Waziri wa…

Read More

TANZANIA YAAHIDI WABIA WA MAENDELEO KUENZI USHIRIKANO NA MAKUBALIANO YALIYOPO KATI YAO.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma WAZIRI wa Fedha Dkt Mwigulu Lameck Nchemba amesema kuwa upande wa Serikali kwa Mawaziri na Makatibu Wakuu walioshiriki Mkutano wa Majadiliano ya Kimkakati baina ya Serikali na Washirika wa Maendeleo Ngazi za juu uliolenga kubadilishana Maarifa,Taarifa na Uzoefu kuhusu Sera na mikakati ya maendeleo ya Nchi wameahidi kuendelea kuenzi ushirikiano…

Read More

TFF yaufungiwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungia Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora hadi pale utakapofanyiwa marekebisho na kukidhi vigezo vya kutumika kwa mechi za ligi. Uamuzi huo umetangazwa leo Ijumaa, Februari 28, 2025 muda mfupi baada ya mechi baina ya wenyeji Tabora United ambao wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Dodoma…

Read More

Zaidi ya milioni moja waliohamishwa na vurugu za genge – maswala ya ulimwengu

“Mgogoro ambao haujawahi kutokea” huko Haiti inamaanisha kuwa kila idadi iliyowasilishwa “ni rekodi mpya,” alisema Ulrika Johnson, akizungumza kutoka Jamhuri ya Dominika kwa waandishi wa habari katika makao makuu ya UN huko New York. “Mateso ambayo hii inasababisha ni kubwa, na ningesema ni ya kusikitisha sana kuona, kushuhudia, kusikiliza wahasiriwa wa vurugu“Aliongezea. 'Mgogoro usio wa…

Read More