Nyota Outsiders azigonganisha nne | Mwanaspoti

BAADA ya Stein Warriors, JKT, Savio na ABC kuibuka na kuitaka saini ya nyota wa UDSM Outsiders, Tryone Edward, mwenyewe amefunguka anachoangalia ni masilahi tu, kwake kambi popote, huku nyota mwenzake Josephat Petar akimaliza mkataba wake. Timu mbalimbali zitakazoshiriki Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), zinaendelea kujiweka sawa kwa kusajili nyota wapya,…

Read More

Watuhumiwa wa mauaji  Himo, wana kesi ya kujibu

Moshi. Mkemia Mkuu wa Serikali, Leonidas Michael, ambaye alifanya uchunguzi wa vina aba (DNA) wa mabaki ya mwili wa Josephine Mngara (30),  anayedaiwa kuuawa kwa kuteketezwa kwa moto, amesema uchunguzi umebaini kwamba kuna uhusiano wa vinasaba kati ya mabaki hayo, na sampuli ya damu kutoka kwa mama aliyedai marehemu alikuwa ni mtoto wake. Mkemia mkuu…

Read More

Tatizo la afya ya akili na mauaji ya kutisha, mmoja alimtenganisha kichwa na kiwiliwili mama yake

Songea. Mahakama Kuu, imeamuru watu wawili iliyowatia hatiani kwa mauaji, akiwemo aliyemchinja mama yake na kutenganisha kichwa na kiwiliwili, kuwekwa katika taasisi ya watu wenye tatizo la afya ya akili (mental Institution) kama wakosaji wendawazimu. Hukumu hizo za kesi mbili tofauti za jinai, zimetolewa leo Alhamisi Februari 27, 2025 na Jaji Emmanuel Kawishe wa Mahakama…

Read More

Barua yawa gumzo Mchome, Chadema wavutana

Dar es Salaam. Kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Lembrus Mchome ameendelea kuikalia kooni ofisi ya Katibu Mkuu wa chama hicho kwa kile anachodai kushindwa kumpatia majibu ya barua yake, huku akisema amejipa saa 48 za kutafakari na kuja na hutua nyingine. Barua hiyo aliyoiandika kwenda kwa Katibu Mkuu wa Chadema na nakala…

Read More

Mitazamo ya wawakilishi kuhusu mwelekeo wa Bajeti ya Serikali

Unguja. Siku moja baada ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kuwasilisha mwelekeo wa bajeti ya mwaka wa fedha 2025/26, Wawakilishi wameishauri iongeze wigo wa ukusanyaji wa mapato kwa kuwa hayajakusanywa inavyotakiwa. Katika bajeti hiyo, SMZ inatarajia kukusanya Sh6.8 trilioni, ikilinganishwa na Sh5.8 trilioni za mwaka wa fedha 2024/25. Jana Jumatano, Waziri wa Fedha na Mipango wa…

Read More

Mwabukusi azungumzia kifo cha Wakili Seth

Kagera. Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi amesema mara ya mwisho kuonekana hadharani Wakili Seth Niyikiza, ilikuwa Februari 19, 2025 hadi alipopatikana akiwa amefariki dunia ndani ya nyumba yake. Wakili Seth alikutwa amefariki dunia nyumbani kwake maeneo ya Bukoba mjini, Februari 25, 2025 baada ya mteja wake kuona inzi wengi dirishani na…

Read More

CAG Kichere ayang’ata sikio mashirika ya umma

Kibaha. Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali (CAG), Charles Kichere amesema mkakati wa serikali kwa sasa ni kuona mashirika ya umma nchini yanajiimarisha kiuchumi ili yajiendeshe bila kutegemea ruzuku ya serikali. Amesema mbali na kujitegemea, pia mashirika hayo yanapaswa kujiwekea utaratibu wa kupeleka gawio la faida yatakayokuwa yanazalisha serikalini kila mwaka, hali itakayosaidia kukuza uchumi…

Read More

Wawili Mchenga Stars kusepa | Mwanaspoti

MKURUGENZI wa Ufundi wa Mchenga Stars, Mohamed Yusuph amesema timu hiyo itawakosa nyota wake wawili, Jordan Manang na Steve Oguto wanaojindaa kusepa klabuni hapo. Mchenga inajiandaa na Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) pamoja na timu nyingine na kwa sasa zinafanya usajili kuimarisha vikosi vyao. Yusuph aliliambia Mwanaspoti, wachezaji hao wanatarajia kutimkia…

Read More