Arajiga, wenzake waula FIFA, wapewa mechi ya Algeria

Mpanga, Said Hamdani na Salum Nasir wameteuliwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kuchezesha mchezo wa kufuzu fainali za Kombe la Dunia baina ya Botswana na Algeria utakaochezwa Francistown, Botswana Machi 21, 2025. Mara ya mwisho Arajiga kuchezesha mechi za kimataifa ilikuwa ni Januari 19, 2025 ambapo alichezesha mchezo wa Kundi B wa Kombe…

Read More

RC ang’aka wanafunzi kukalia matofali, kwenda na viti shule

Tarime.  Uhaba wa madawati katika Shule ya Sekondari ya Nyanungu Wilaya ya Tarime mkoani Mara unawafanya baadhi ya wanafunzi kukalia matofali darasani, huku wengine wakibeba viti kutoka nyumbani kwenda navyo shule. Kutokana na kila mwanafunzi kuwa na kiti cha aina yake, mpangilio darasani sio maalumu hivyo wengine wanalazimika kukaa pembeni kuangalia mlangoni na kugeuza shingo ili kuangalia…

Read More

DPP amfutia kesi Dk Slaa, aachiwa huru

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemfutia kesi mwanasiasa Mkongwe nchini, Dk Wilibrod Slaa (76) baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kuieleza Mahakama kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo dhidi ya mshtakiwa huyo. Mshtakiwa huyo alikuwa anakabiliwa na shitaka moja la kusambaza taarifa za uongo katika Mtandao wa X kinyume…

Read More

Mwakilishi ahoji kusuasua bandari za Pemba

Unguja. Mwakilishi wa Pandani, Profesa Omar Fakih Hamad amesema licha ya kauli za Serikali za kukusudia kukifungua kisiwa cha Pemba kupitia bandari inayoweza kutoa huduma za kimataifa, uhalisia wa jambo hilo bado haujaonekana. Profesa Hamad amesema hayo wakati akiuliza swali leo Alhamisi Februari 27, 2025 katika mkutano wa 18 wa Baraza la Wawakiliahi. “Ni kwa…

Read More

RC SIMIYU AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUTUNZA AMANI,KUSIMAMIA HAKI

Na Mwandishi Wetu,Simiyu MKUU wa Mkoa wa Simiyu Kenani Kihongosi amesisitiza umuhimu wa wananchi kutunza amani na kama kuna changamoto au kero basi yeye pamoja na viongozi wengine wa mkoa wapo tayari kutafuta majawabu kwa njia inayostahili. Kihongosi ametoa kauli hiyo alipokuwa anazungumza katika Machimbo ya Ikinabushu mkoani Simiyu na kupokelewa na maelfu ya wananchi…

Read More

Odhiambo: Ukijipanga unacheza BDL | Mwanaspoti

KOCHA wa Polisi, Zadock Odhiambo amesema timu inayofanya maandalizi mazuri katika Ligi Daraja la Kwanza, Mkoa wa Dar es Salaam, ndiyo itakayopanda BDL. Odhimabo aliliambia Mwanaspoti, kwa misimu mitano katika ligi hiyo, amegundua kama timu inayojipanga vizuri ndiyo yenye nafasi kubwa ya kucheza BDL akizitolea mfano  DB Oratory, KIUT, Dar City, Crows, Polisi, Stein Warriors…

Read More