Bocco aukubali mziki wa Mzize, Ateba

NAHODHA wa zamani wa Simba na Taifa Stars ambaye kwa sasa anakipiga JKT Tanzania, John Bocco amemtaja Leonel Ateba (Simba) na Clement Mzize (Yanga) kuwa ni wachezaji halisi wa kati wenye uwezo wa kumiliki mpira na kufunga. Bocco amesema Ateba ana uwezo mkubwa wa kufunga, kumiliki mpira na kulimiliki eneo la mbele vizuri kwa kujitegemea…

Read More

BALOZI NCHIMBI AWASILI NAMIBIA MSIBA WA SAM NUJOMA

  Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasili nchini Namibia, akiongoza ujumbe wa CCM kwenye mazishi ya aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Namibia na Baba wa Taifa hilo, Dkt. Sam Shafiishuna Nujoma, yatakayofanyika tarehe 1 Machi, 2025.Balozi Dkt. Nchimbi pamoja na msafara wake aliongozana nao, ambao pia yumo Katibu wa…

Read More

Blanco anahesabu siku tu Azam FC

KLABU ya Azam inatarajia kufanya mabadiliko makubwa katika safu ya ushambuliaji mwishoni mwa msimu huu ikiwamo kumtema mshambuliaji wa kati, Jhonier Blanco aliyeshindwa kuonyesha kiwango cha juu tangu alipojiunga na timu hiyo. Blanco, aliyesajiliwa kutoka Rionegro Aguila ya Colombia, alitarajiwa kuwa mchezaji muhimu katika safu ya ushambuliaji ya timu hiyo, lakini hadi sasa ameshindwa kumudu…

Read More

Pamba yakwepa mtego wa Yanga

DOZI nene zinazoendelea kutolewa na Yanga katika mechi za Ligi Kuu Bara zimelishtua benchi la ufundi la Pamba Jiji ambalo limetangaza kujipanga mapema kukwepa mtego huo kwa kuzungumza mapema na wachezaji kuhakikisha hawaingii wanmaepuka kupigwa nyingi wakiwa nyumbani. Pamba kesho Ijumaa inatarajiwa kuwa wenyeji wa mchezo huo wa raundi ya 22 utakaopigwa kwenye Uwanja wa…

Read More

MSAADA WA KISHERIA WA MAMA SAMIA WAWAFIKIA WANAFUNZI CHALINZE

Baadhi ya wanafunzi kutoka jimbo la Chalinze, mkoani Pwani, wamejitokeza katika kampeni ya msaada wa kisheria ya MAMA SAMIA, kutoa changamoto zinazowakabili katika malezi na matunzo ili kupata ushauri wa kisheria na ufumbuzi. Vilevile, baadhi ya wananchi wameeleza kusogezwa karibu kwa huduma za kisheria kwenye kata na vitongoji ni mkombozi mkubwa.  Akizungumza na wanafunzi wa…

Read More

KUPANGA VYUMBA NJE YA SHULE KWA WATOTO WA KIKE SEKONDARI KIBINDU YATIA HOFU KUJIINGIZA KWENYE VISHAWISHI

   Mwamvua Mwinyi, Chalinze Februari 27, 2025 Shule ya Sekondari Kibindu, iliyopo Kata ya Kibindu, Jimbo la Chalinze, Mkoani Pwani, ina jumla ya mabweni manne ya wasichana, lakini idadi ya wanafunzi wanaoishi kwenye mabweni hayo haifikii nusu ya wanafunzi wa kike 300 wanaosoma shuleni hapo. Aidha, shule hiyo inakabiliwa na changamoto kubwa ya ukosefu wa…

Read More

SERIKALI KUJENGA KIWANDA KIKUBWA CHA SUKARI.

Na Oscar Assenga,Pangani. RAIS DKt Samia Suluhu amesema kwamba Serikali inakusudia kujenga Kiwanda Kikubwa cha Sukari eneo la Bandarini Jijini Tanga ili kujitosheleza na mahitaji hapa nchini. Aliyasema hayo February 26,2025 mjini Pangani wakati wa ziara yake ya Wilayani Pangani baada ya kuweka jiwe la Msingi Kwenye barabara ya Tanga-Pangani pamoja na daraja la Mto…

Read More

RUNALI WAANZA KUJENGA HOTELI YA KISASA YA ZAIDI YA MILIONI 700, CORECU WAPANGA KUIGA

Mwenyekiti wa Chama kikuu cha ushirika cha RUNALI,Odas Mpunga akiwaonyesha viongozi mbalimbali ukubwa wa eneo ambao Hoteli ya kisasa ya chama hicho kikuu cha RUNALI inayojengwa katika wilaya ya Liwale mkoani Lindi.Mwenyekiti wa Chama kikuu cha ushirika cha RUNALI,Odas Mpunga akiwaonyesha viongozi mbalimbali ukubwa wa eneo ambao Hoteli ya kisasa ya chama hicho kikuu cha…

Read More