Tanzania mbioni matibabu, upasuaji kwa roboti
Dar es Salaam. Tanzania inakaribia kuingia katika teknolojia ya upasuaji kwa kutumia akili mnemba ‘roboti’ baada ya baadhi ya hospitali nchini kuanza maandalizi ya huduma hiyo kwa kutoa mafunzo kwa wataalamu. Hospitali hizo ni pamoja na Taasisi ya Saratani Ocean Road ORCI, Hospitali ya Benjamin Mkapa BMH na Hospitali ya Saifee Tanzania. Desemba 31, 2024…