Sh1.4 bilioni kukwamua soko lililokwama kwa miaka 10 Mara

Tarime. Serikali imetoa zaidi ya Sh1.4 bilioni kukamilisha mradi wa ujenzi wa soko la kimkakati la kimataifa la mazao ya kilimo katika eneo la Sirari mkoani Mara, ambapo ujenzi wake ulikwama kwa takriban miaka 10. Soko hilo linalotarajiwa kunufaisha wafanyabiashara wa mazao ya kilimo zaidi ya 300 linatajwa kuwa mwarobaini wa changamoto zinazowakumba wafanyabiashara hao….

Read More

Je, unakula kilo 20 za samaki kwa mwaka?

Mwanza. Wakazi wa Kanda ya Ziwa wametakiwa kuongeza ulaji wa samaki,  kutokana na ongezeko na upatikanaji wa kitoweo hicho unaochangiwa na ufugaji wa kwenye vizimba. Kwa mujibu wa hotuba ya makadirio ya bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa mwaka wa fedha wa 2024/25, uzalishaji wa samaki nchini uliongezeka hadi tani 472,579,34 kufikia Aprili,…

Read More

Watoto wawili kati ya 100 huzaliwa na tatizo la moyo nchini

Dodoma. Watoto wawili kati ya 100 huzaliwa na tatizo la moyo nchini kila mwaka, huku wataalamu wakibainisha kuwa wengi hawagunduliki mapema na hufariki wakitibiwa magonjwa mengine ikiwemo kukosa pumzi, kifua kikuu na nimonia. Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa kupitia wataalamu wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete JKCI kupitia huduma mkoba katika mikoa 20, walibaini…

Read More

Enabel, YAJA NA UBUNIFU SHIRIKISHI NA MAABARA MUBASHARA KUTATUA CHANGAMOTO ZA MWANZA

Kupitia mradi wake wa Inclucities, unahimiza miji shirikishi, inayohimiza utunzaji wamazingira na janja, Shirika la maendeleo la Ubelgiji, Enabel, limewaita wavuvi, wafanyabiashara, viongozi, maofisa wa serikali, watumia bidhaa na wadau wa maendeleo kujifunza mbinu iitwayo ubunifu shirikishi na maabara live katika kutatua changamoto. Kanuni ya mbinu hii si ngumu. Tambua tatizo, kuliweka bayana, kubuni ufumbuzi,…

Read More

Papa ateua askofu msaidizi Jimbo Kuu Katoliki Tabora

Dar es Salaam. Papa Francis amemteua Padri Josaphat Bududu wa Jimbo Kuu Katoliki Tabora, kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki Tabora. Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa leo Februari 26, 2025 na Padri Charles Kitima, Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Mteule Bududu alizaliwa Machi 26, 1977…

Read More

M23 waiponza Rwanda, Uingereza yaisitishia misaada

Kigali. Rwanda imekuwa ikituhumiwa na Serikali ya Rais Felix Tshisekedi wa DRC na Umoja wa Mataifa (UN) kuwafadhili waasi hao, hata hivyo, Rais Paul Kagame kupitia mahojiano yake na CNN mwezi uliopita alikanusha kulifadhili kundi hilo. Pia, Rais Kagame alipoulizwa juu ya uwepo wa askari wa Jeshi la Ulinzi la Rwanda (RDF) alidai hana taarifa…

Read More