DC SAME AKERWA NA USIMAMIZI MBOVU WA MRADI WA MAJI

  Na Ashrack Miraji – Michuzi blog Mkuu wa Wilaya ya Same, Mhe. Kasilda Mgeni, ameonesha kukerwa na usimamizi wa mradi wa maji unaotekelezwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) katika Kata ya Kisiwani, wilayani humo. Licha ya serikali kutoa shilingi milioni 720 kwa ajili ya mradi huo, bado haujanufaisha walengwa,…

Read More

Mamia wafurika maziko aliyeshiriki tukio la kuchanganya udongo

Hai. Mamia ya waombolezaji wamejitokeza katika Usharika wa Nkwarungo Machame, kushiriki ibada ya maziko ya Sifael Shuma (92) aliyekuwa mmoja wa vijana wanne walioshiriki tukio la kuchanganya udongo wa Tanganyika na Zanzibar Aprili 26, 1965. Tukio hilo lilifanyika ikiwa ni mwaka mmoja baada ya kuasisiwa kwa muungano Aprili 26, 1964. Sifael ambaye alifariki dunia Februari…

Read More

MKUTANO WA JPCC KUJADILI USHIRIKIANO KATIKA NYANJA ZA KIMKAKATI WAANZA NCHINI MALAWI

Maafisa waandamizi wa Tanzania na Malawi wamekutana jijini Lilongwe, Malawi, katika kikao cha sita cha Tume ya Pamoja ya Kudumu ya Ushirikiano (JPCC), kujadili masuala ya kimkakati yanayolenga kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia, kijamii na kiuchumi kati ya mataifa hayo mawili. Kikao hicho, kilichoongozwa na wenyeviti wenza, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje…

Read More

RAIS SAMIA ATOA SHILINGI MILIONI 60 KUMALIZA KERO YA MAJI SAFI NA SALAMA KWA WAKAZI WA KIJIJI CHA KIMBANGA

Na Mwandishi Wetu,Nyasa RAIS Dkt Samia Suluhu Hassan,amerudisha matumaini  kwa wananchi  wa kijiji cha Kimbanga Wilaya ya Nyasa Mkoani Ruvuma,baada ya kutoa  kiasi cha Sh.milioni 60 kwa ajili ya kuchimba kisima cha maji ili kumaliza kero ya huduma ya maji safi na salama iliyokuwepo kwa muda mrefu  katika kijiji hicho. Kwa sasa,wakazi wa kijiji cha…

Read More

Hizi hapa mechi za hesabu Ligi Kuu

MICHEZO ya Ligi Kuu Bara inatarajiwa kuendelea leo katika viwanja tofauti itakayokuwa na hesabu kali kutokana na timu kuwania nafasi za kujinasua kushuka na zinazotaka kupanda juu kwenye msimamo. Kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, Manyara vita itakuwa kupanda nafasi na pointi tatu muhimu ndizo zitakazoamua kwa mwenyeji Fountain Gate itakayoikaribisha Tanzania Prisons. Katika mchezo wa…

Read More

Papa Francis atimiza siku 12 hospitalini akiwa mahututi

Rome. Papa Francis ametimiza siku 12 akiwa amelazwa hospitali kwa matibabu, muda ambao ni mrefu ikilinganishwa na mwaka 2012 ambapo alilazwa kwa siku 10. Kulazwa hospitali kwa Papa Francis kwa siku 12 ni muda mrefu zaidi wa kulazwa hospitalini tangu alipochaguliwa kuwa Papa. Kabla ya ugonjwa unaomsumbua sasa, Papa Francis aliwahi kulazwa kwa siku 10…

Read More

CMSA YAJIVUNIA MAFANIKIO LUKUKI 2024, THAMANI MASOKO YA MITAJI YAFIKIA TRILIONI 46.7

 MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imesema katika mwaka 2024 kumekuwa na mafanikio makubwa ambayo yamewezesha pia thamani ya uwekezaji katika masoko ya mitaji kuongezeka kwa asilimia 24.7 na kufikia Sh.trilioni 46.7 katika kipindi kilichoishia Desemba 2024, ikilinganishwa na Sh.trilioni 37.4 katika kipindi kilichoishia Desemba 2023. Pia thamani ya uwekezaji katika hisa za…

Read More

Hamdi anavyotembelea nyayo za Ramovic Yanga

USHINDI wa Yanga wa mabao 5-0, ilioupata juzi dhidi ya Mashujaa, umemfanya kocha wa timu hiyo, Miloud Hamdi kutembelea nyayo za mtangulizi wake, Sead Ramovic aliyeondoka na kutimkia CR Belouizdad ya Algeria, kutokana na rekodi zao za sasa. Hamdi alijiunga na Yanga Februari 4, mwaka huu kuchukua nafasi ya Ramovic na tangu ajiunge na kikosi…

Read More

Hii ndiyo Kariakoo ya biashara usiku

Dar es Salaam. Ilianza kama ndoto za kufikirika, ahadi, mipango na sasa imetimia. Ingawa bado inaenda ‘mdogomdogo’, lakini kipenga kimeshapulizwa kuruhusu biashara kufanyika kwa saa 24 katika eneo la Kariakaoo jijini Dar es Salaam. Kariakaoo iliyokuwa ya biashara mchana usiku viunga vya malazi ya wasio na makazi maalumu, kwa sasa inaanza kubadilika kuwa eneo la…

Read More