Siri imefichuka… Hapa ndiyo jeuri ya Yanga ilipo

KUNA kitu Yanga inakifanya kwa sasa, ikipambana kuhakikisha kwamba inaikamata rekodi ya Simba ya kubeba ubingwa wa Ligi Kuu Bara mara nne mfululizo katika miaka ya karibuni, kabla haujahamia Jangwani kwa misimu mitatu iliyopita. Kazi kubwa inafanyika katika kipindi ambacho benchi la ufundi la timu hiyo likiwa chini ya kocha mpya, Hamdi Miloud, lakini haijaleta…

Read More

RAIS DK.SAMIA HAUNA DENI NA WANA TANGA, “MITANO TENA”

Na Mwandishi Wetu RAIS Dk.Samia Suluhu Hassan huna deni na watu wa Mkoa wa Tanga! Hivyo ndivyo tunaweza kuelezea kutokana na kasi kubwa ya maendeleo iliyofanywa na Rais Samia katika mkoa huo kupitia sekta mbalimbali. Kasi hiyo ya maendeleo mbali ya kuleta faraja kwa wana Tanga pia imefanikisha kuwaondolewa kwa changamoto ambazo awali wananchi walikuwa…

Read More

WAZIRI GWAJIMA ATETA NA KAMATI MAANDALIZI YA SIKU YA WANAWAKE KITAIFA MKOANI ARUSHA.

Na Jane Edward, Arusha  Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalum, Dkt. Doroth Gwajima ameupongeza Mkoa wa Arusha kwa maandalizi mazuri kuelekea wiki ya wanawake duniani, akihimiza jitihada zaidi kwenye utekelezaji wa mikakati ya kuwainua wanawake katika nyanja mbalimbali pamoja na kuondoa unyanyasaji na ukatili wa aina mbalimbali kwa wanawake na wasichana….

Read More

Watatu wafariki dunia msafara wa CCM Mbeya

Mbeya. Watu watatu wamefariki dunia akiwamo mwandishi wa habari wa kujitegemea mkoani Mbeya, Furaha Simchimba katika ajali iliyotokea mkoani humo ikihusisha basi lq Kampuni ya CRN na gari la Serikali. Ajali hiyo imetokea leo Jumanne Februari 25, 2025 katika eneo la Shamwengo wilayani Mbeya ambapo inadaiwa  basi lilikuwa likilipita gari la Serikali bila kuchukua tahadhari…

Read More

SERIKALI IMEJIPANGA VYEMA BIASHARA SAA 24 KARIAKOO

   SERIKALI ya Mkoa wa Dar es salaam imejipanga kuwaandaa wananchi na wafanyabiashara wake katika kuanza kufanya biashara za masaa 24 katika soko la Kimataifa la Kariakoo. Katibu Tawala Mkoa wa Dar es salaam, Dk Toba Nguvila ameeleza hayo leo Februari 25,2025 wakati wa usafi ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea uzinduzi wa biashara hizo,…

Read More

Mbio za Mussel huko Kerala zinakabiliwa na upotezaji wa maisha, na makazi ya spishi chini ya tishio – maswala ya ulimwengu

Ibrahim Basheer, mbizi kwa mussels huko Kovalam Beach huko Thiruvananthapuram. Mikopo: Bharath Thampi/IPS na Bharath Thampi (Thiruvananthapuram, India) Jumanne, Februari 25, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Thiruvananthapuram, India, Feb 25 (IPS) – Ibrahim Basheer huingia baharini na kutoweka. Anabaki kwa dakika chache kabla ya kuanza tena pumzi ya hewa, akirudia hii kwa nusu saa…

Read More