Golugwa ataja sababu za kuhojiwa na Polisi

Dar es Salaam. Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, Amani Golugwa leo amefika ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa wa Kipolisi Kinondoni kufuatia wito wa Polisi uliotolewa kwake na Jeshi hilo jana. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumanne Februari 25, 2025 baada ya kupata taarifa kuwa…

Read More

Biteko akemea migogoro iliyoota mizizi Msalala

Kahama. Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Madini Dk Doto Biteko, amewaasa wanachama na viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika jimbo la Msalala, wilayani Kahama mkoani Shinyanga, kuungana na kuondoa migogoro iliyopo ndani ya chama hicho ili kuwaletea maendeleo wananchi. Naibu Waziri Mkuu Dk Biteko ameyasema hayo leo Februari 25, 2025, wakati…

Read More

Ubunge Arusha Gambo, Makonda kinawaka

Dar es Salaam. Joto la Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 limeendelea kupanda jijini Arusha ambapo Paul Makonda na Mrisho Gambo wanatajwa kuwa katika mvutano wa kuwania ubunge. Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha na Gambo, mbunge wa Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) wamekuwa kwenye mvutano wa hapa na pale katika siku…

Read More

Biteko azipa maelekezo taasisi za fedha nchini

Kahama. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko, amezitaka taasisi za fedha nchini, hususan benki, kuwekeza kwa wananchi na wafanyabiashara wadogo wanaohitaji huduma za kibenki ili waweze kukua kiuchumi, badala ya kujikita kwa wafanyabiashara ambao wamefanikiwa. Biteko, amesema hayo leo, Februari 25, 2025, wilayani Kahama, mkoani Shinyanga, wakati wa uzinduzi wa Benki…

Read More

Taasisi za fedha zatakiwa kuwekeza kwa wafanyabiashara wadogo

Kahama. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko, amezitaka taasisi za fedha nchini, hususan benki, kuwekeza kwa wananchi na wafanyabiashara wadogo wanaohitaji huduma za kibenki ili waweze kukua kiuchumi, badala ya kujikita kwa wafanyabiashara ambao wamefanikiwa. Biteko, amesema hayo leo, Februari 25, 2025, wilayani Kahama, mkoani Shinyanga, wakati wa uzinduzi wa Benki…

Read More

Angalizo jipya uwepo mkali kwa siku tano, Dar imo

Dar es Salaam. Kwa mara nyingine Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo la uwepo wa upepo mkali na mawimbi makubwa katika pwani ya kaskazini mwa Bahari ya Hindi. Kwa takribani wiki moja sasa TMA imekuwa ikitoa angalizo kuhusu hali hiyo ikieleza kiwango cha athari zinazoweza kutokea ni wastani.   Kwa mujibu wa taarifa…

Read More