Profesa Kitila atambua mchango wa waokota taka

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema waokota taka wana mchango mkubwa katika maendeleo ya Taifa na wana sehemu yao kwenye Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Profesa Kitila ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Ubungo amesema kazi wanayoifanya waokota taka rejeleshi ni kuokoa kizazi cha…

Read More

Umuhimu wa sayansi kukuza uchumi wa buluu

Dar es Salaam. Uwekezaji katika tafiti za kisayansi, umeelezwa utasaidia kuchangia usimamizi na utekelezaji wa sera katika kuboresha na kukuza sekta ya uchumi wa buluu. Wakati huohuo kuunganisha watafiti, wajasiriamali na watunga sera katika ushirikiano wa sayansi na biashara kunatajwa kutoa suluhisho linaloweza kupanuliwa kwa changamoto zilizopo kwa sasa. Hayo yameelezwa leo Jumatatu, Februari 24,…

Read More

Wajasiriamali wapewa siri ya kulinda biashara zao

Dar es Salaam. Wajasiriamali wadogo nchini wametakiwa kusimamia vyanzo yao vya mapato na kujihusisha na mikopo endelevu kutoka kwenye taasisi za kifedha zinazoaminika ili kulinda biashara zao. Hayo yameelezwa wakati wa hitimisho la mafunzo maalumu ya wajasiriamali vijana katika kampeni maalumu ya Going Beyond iliyoandaliwa na taasisi ya Her initiative ambapo, mtalaamu wa masuala ya…

Read More

MSHINDI WA KITILA JIMBO CUP KUPATA BAJAJ

  Michuano ya soka inayofahamika kama Kitila Jimbo Cup iliyoandaliwa na Mbunge wa Jimbo la Ubungo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo inatarajiwa kuhitimishwa February 28 mwaka huu. Fainali za michuano hiyo zitafanyika katika Uwanja wa Kinesi kwa kuzikutanisha timu za Wima kutoka Kata ya Mburahati na Baruti…

Read More

Wanaodaiwa kuiba mafuta ya Tipper kuendelea kusota rumande

Dar es Salaam. Washtakiwa  wa kesi ya wizi wa mafuta katika visima  vya kampuni ya Kimataifa ya Kuhifadhi Mafuta, Tiper Tanzania Ltd (Tiper), wataendelea kusota rumande kwa siku nyingine 14, kabla ya kurejeshwa mahakamani kujua hatima ya upelelezi wa kesi inayowakabili. Hatua hiyo inatokana na upelelezi wa kesi yao kutokakamilika. Washtakiwa hao ni aliyekuwa dereva…

Read More

Rais Samia ataka tathimini ya mashamba yasiyoendelezwa

Korogwe. Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kufanywa tathimini ya mashamba makubwa yasiyoendelezwa wilayani Korogwe mkoani Tanga, ili kujua taarifa zake na hatimaye yatumiwe na wananchi. Chimbuko la agizo hilo ni hoja iliyoibuliwa na Mbunge wa Korogwe Vijijini, Timotheo Mzava aliyesema kuna mashamba mengi makubwa katika eneo hilo na hayaendelezwi. Rais Samia ametoa agizo hilo leo,…

Read More