Upelelezi kesi ya kumiliki kobe 116,  bado ‘kiza’

Dar es Salaam. Serikali imeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa upelelezi katika kesi ya kuongoza genge la uhalifu na kumiliki kobe 116 inayowakabili watu wanane wakiwemo maofisa wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere( JNIA) pamoja na raia wa Ukraine, haujakamilika. Wakili wa Serikali, Gloria Kilawi ameieleza Mahakama leo Jumatatu Februari 24,…

Read More

RAIS MWINYI:TUSIPANDISHE BEI ZA BIDHAA ZA VYAKULA WAKATI WA RAMADHANI

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi ameeleza kuridhishwa na upatikanaji wa Bidhaa za Vyakula na kuwataka Wafanyabiashara Kutopandisha Bei wakati Ramadhani itakapoanza. Rais Dkt.Mwinyi amesema hayo alipotembelea Masoko ya Jumbi , Mwanakwerekwe na Darajani kuangalia Mwenendo wa Biashara na Upatikanaji wa Bidhaa za Vyakula kuelekea Mwezi Wa Ramadhani….

Read More

Wakulima wa matikiti Kishapu walia fisi kuharibu mazao

Shinyanga. Wakulima wa zao la matikiti katika Kijiji cha Kishapu kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, wanalazimika kujenga mahema mashambani ili kukabiliana na uharibifu wa zao hilo unaofanywa na fisi. Hayo yamebainishwa leo Februari 24, 2025 na Katibu wa kikundi cha Jipagile kilichopo katika kijiji hicho, Samwel Lusona amesema fisi hao hula…

Read More

RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK.HUSSEIN MWINYI AMAKUTANA NA UJUMBE WA BENKI YA DUNIA IKULU ZANZIBAR LEO 18-2-2025

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Benki ya ya Dunia, ukiongozwa na Meneja Muendeshaji wa Benki ya Dunia Kanda ya Kusini mwa Afrika. Milena Stefanova (kulia kwa Rais) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 18-2-2025 na (kushoto kwa Rais) Waziri…

Read More

Mzee mwenye miaka 103 adaiwa kuuawa na watoto wake

Geita. Mzee mwenye umri wa miaka 103, Hussen Bundala ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wanaodaiwa kuwa ni watoto wake. Mzee huyo, mkazi wa Kitongoji cha Ihanamilo kilichopo kata ya Nyamtukuza, Wilaya ya Nyanghwale mkoani Geita, aliuawa Februari 5, 2025. Kufuatia mauaji hayo ambayo chanzo chake…

Read More

Mtalii aliyepotea Kisiwa cha Songosongo apatikana akiwa hai

Kilwa. Mtalii aliyepotea katika bahari ya Hindi  Kisiwa cha Songosongo wakati akifanya utalii amepatikana akiwa hai katika eneo la Kilwa Kivinje wilayani Kilwa mkoani Lindi. Raia wa kigeni kutoka nchini Ufaransa, Nakar Fszman (51), amepatikana akiwa hai baada ya kupotea katika Bahari ya Hindi, eneo la Kisiwa cha Songosongo, Wilaya ya Kilwa. Taarifa ya Jeshi…

Read More