Medo avunja ukimya kutimuliwa Kagera Sugar

ALIYEKUWA kocha mkuu wa Kagera Sugar, Melis Medo anayedaiwa kutemwa na timu hiyo kutokana na matokeo mabaya iliyonayo katika Ligi Kuu, amevunja ukimya kwa kuandika kilichomuondoa ndani ya timu hiyo inayochungulia shimo la kushuka daraja ikishika nafasi ya 15 kati ya timu 16 za ligi hiyo. Kocha huyo raia wa Marekani inaelezwa amepigwa chini saa…

Read More

ACT yakwaa kisiki, Mahakama yahalalisha ushindi wa CCM

Dar es Salaam. Mrufani, Salum Bakari Malunge (70) aliyevaa kofia, anayetumikia kifungo cha maisha gerezani kwa kosa la kulawiti pamoja kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka binti mwenye umri chini ya miaka 18, akiwa ameshikwa mkono na mrufani mwenzake Isdori Mushi (55) wakitoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakati kesi zao…

Read More

Scholz aangukia pua uchaguzi wa Ujerumani, Merz Kansela mpya

Berlin. Matokeo ya awali katika uchaguzi wa kitaifa nchini Ujerumani yanaonyesha chama cha Conservatives kikiongozwa na mgombea wake, Friedrich Merz kimeshinda uchaguzi huo dhidi ya vyama vingine kikiwemo cha Kansela wa sasa, Olaf Scholz. Katika matokeo ya uchaguzi huo yaliyotangazwa leo Jumatatu Februari 24, 2025, chama cha mlengo wa kulia cha Altenative for Germany (AfD),…

Read More

CCM Mbeya yabainisha mwarobaini migogoro ya jamii

Mbeya. Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya kimesema licha ya ujio wa kampeni ya msaada wa kisheria, bila kubadili mienendo na tabia za wananchi, migogoro haitaisha, huku kikiwataja baadhi ya wanasheria na mawakili kujihusisha na vitendo vya rushwa. Akizungumza leo Februari 24, 2025 wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo mkoani humo, mwenyekiti wa chama…

Read More

Sekta binafsi inavyoongoza kwa mishahara midogo

Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Utafiti wa Ajira na Mapato katika Sekta Rasmi Tanzania wa mwaka  2022/23, mtu mmoja kati ya wawili walio katika sekta hiyo wanalipwa mshahara wa chini ya Sh500,000. Ripoti iliyochapishwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) inaeleza kuwa, watu 1,996,555 kati ya 3,717,980 walio katika ajira wanalipwa kati ya…

Read More

Rais Karia ana kazi kubwa CAF

Zimebaki siku 17 kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (Caf) huko nchini Morocco. Uchaguzi huo utafanyika Machi 12 ambapo nchi wanachama wa Caf watapata fursa ya kuchagua Rais wa Shirikisho hilo pamoja na wajumbe wa kamati ya utendaji. Kwenye Urais hapo hapana vita sana kwani Patrice Motsepe ndiye mgombea…

Read More