Matano mambo magumu Fountain | Mwanaspoti

HALI ni mbaya kwa Kocha Mkuu wa Fountain Gate, Mkenya Roberto Matano baada ya kikosi hicho kuchapwa juzi bao 1-0, dhidi ya Dodoma Jiji, na kuifanya timu hiyo kufikisha jumla ya michezo minane ya Ligi Kuu bila ya kuonja ladha ya ushindi. Katika mchezo huo uliopigwa kwenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma, wenyeji walipata bao la…

Read More

AGIZO LA RAIS SAMIA LA KUFUNGUA VIWANDA VYA TEHAMA NCHINI LAFANIKIWA ARUSHA.

Na Pamela Mollel,Arusha Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan kuagiza Tume ya Tehama Nchini kawatafuta wawekezaji watakao fungua viwanda vya kutengeneza bidhaa mbalimbali za Tehama,agizo hilo limefanikiwa kwa kuwepo kwa kiwanda cha uzalishaji wa bidhaa za Tehama hapa Nchini Akizungumza jijini Arusha mara baada ya kutembelea kiwanda cha Tanztech…

Read More

Kisa Hamisa, Mzize amuonya Aziz KI

BAADA ya nyota wa kimataifa kutoka Burkina Faso, Stephane Aziz KI kufunga ndoa na Hamisa Mobetto wiki iliyopita na kufanya sherehe kubwa kwenye Ukumbi wa Super Dom, Masaki, jijini Dar es Salaam, kumekuwa na stori za pembeni kuhusu wawili hao. Hata hivyo, baada ya tukio hilo baadhi ya mastaa waliwapongeza wanandoa hao akiwamo nyota wa…

Read More

Abiria aliyekuwa akisafiri Mwanza- Dar afariki njiani

Morogoro. Abiria Godfrey David Mbaga aliyekuwa akisafiri kutoka mkoani Mwanza kwenda jijini Dar es Salaam kwa basi la Kampuni ya Ally’s ameshindwa kufika alilokuwa anakwenda baada ya kufariki dunia eneo la Mikese, mkoani Morogoro. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatatu, Februari 24, 2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Alex Mkama amesema tukio hilo…

Read More

Mgombea urais NCCR kujulikana Aprili 30

Dar es Salaam. Hekaheka za uchaguzi mkuu zinaendelea kushika kasi huku vyama vya siasa vikiendelea na mchakato wa kuwapata wagombea wa nafasi ya urais. Kwa upande wa Chama cha NCCR Mageuzi, maandalizi yanaendelea wakati Chama cha Mapinduzi (CCM) tayari kimemaliza mchakato wake kwa kumpitisha Rais, Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wake wa urais katika Mkutano…

Read More

Jamii yaaswa kulea watoto katika mazingira bora

Mlezi wa kituo cha Watoto Wetu Tanzania,Gerald Soka akiwashukuru Wazee wastaafu wa TRA waliofika kwenye kituo hicho kutoa msaada wao. Lucas Kaigarula mwanachama wa kundi la Wastaafu wa TRA pia Mratibu wa ziara ya utoaji msaada katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Watoto wetu Tanzania kilichopo Mbezi eneo la Goba jijini Dar es Salaam….

Read More

Viongozi wa CARICOM huchukua hatua za kukabiliana na uhalifu, hali ya hewa, biashara na shida za chakula – maswala ya ulimwengu

Mkutano wa waandishi wa habari kuashiria mwisho wa Wakuu wa 48 wa Wakuu wa Serikali wa Serikali (LR) Katibu Mkuu wa CARICOM Dk. Carla Barnett, mawaziri wakuu Philip Davis (Bahamas), Dk Keith Rowley (Trinidad & Tobago), Mia Mottley (Barbados), Andrew Holness (Jamaica) na Rais Dk. Irfaan Ali (Guyana). na Alison Kentish (Dominica) Jumatatu, Februari 24,…

Read More

Aliyeshtakiwa kwa kujaribu kuua Musoma aachiwa huru

Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Musoma imemuachia huru, Zilipa Makondoro, aliyekuwa ameshtakiwa kwa kosa la kujaribu kumuua, George Kaloko kwa kumjeruhi kwa kutumia jembe kichwani. Mahakama hiyo imefikia uamuzi huo baada ya kupitia ushahidi uliotolewa na upande wa mashitaka na kusema umeshindwa kuthibitisha mshtakiwa huyo ndiye alimjeruhi George. Hukumu hiyo imetolewa Februari 21, 2025…

Read More

Ujerumani Yatoa Onyo Dhidi Ya Marekani – Global Publishers

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Annalena Baerbock Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Annalena Baerbock amesema Ulaya haipaswi kusita kuweka shinikizo dhidi ya Marekani, iwapo nchi hiyo itashindwa kukumbatia demokrasia ya kiliberali. Waziri Annalena ameyasema hayo kufuatia mazungumzo kati ya Marekani na Urusi ambayo yamewatenga wawakilishi kutoka Umoja wa…

Read More