TPHPA yapandisha ada cheti cha afya ya mazao

Arusha. Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) imepandisha ada za vyeti vya afya ya mazao kwa zaidi ya asilimia 460, jambo linaloleta changamoto kubwa kwa sekta ya usafirishaji wa mazao ya kilimo nchini. Muundo wa ada uliorekebishwa, ambao umesababisha ongezeko la zaidi ya mara nne kwa baadhi ya makundi ya shehena, umeibua…

Read More

Lissu atoa msimamo pingamizi la kina Mnyika, Lema

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amejitosa kuzungumzia sakata la barua ya malalamiko kuhusu uteuzi alioufanya wa viongozi watendaji wa juu na wajumbe wa kamati kuu akisema haina mashiko yoyote. Barua hiyo ni ya kada wake, Lembrus Mchome, aliyoiandika kwenda kwa Katibu Mkuu wa Chadema na nakala kuituma…

Read More

Sungusungu wadaiwa kumvunja mwanakijiji mguu kwa kipigo

Kahama. Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga linawashikilia sungusungu wawili kwa tuhuma za kumpiga hadi kumvunja mguu mkazi wa Kijiji cha Mbika Wilayani Kahama, John Julius (34) kwa madai ya kuiba mlango wa mwajiri wake. Akizungumza na Mwananchi leo Jumapili Februari 23, 2024 kamanda wa polisi mkoani humo, Janeth Magomi amewataja wanaoshikiliwa ni Bundala Dalali na…

Read More

Sungusungu wadaiwa kumvunja mwanakijijj mguu kwa kipigo

Kahama. Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga linawashikilia sungusungu wawili kwa tuhuma za kumpiga hadi kumvunja mguu mkazi wa Kijiji cha Mbika Wilayani Kahama, John Julius (34) kwa madai ya kuiba mlango wa mwajiri wake. Akizungumza na Mwananchi leo Jumapili Februari 23, 2024 kamanda wa polisi mkoani humo, Janeth Magomi amewataja wanaoshikiliwa ni Bundala Dalali na…

Read More

Yanga ina balaa Ligi Kuu, yaichapa Mashujaa

WAKATI Simba na Azam zikishuka uwanjani kesho jioni katika Mzizima Derby, vinara na watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga jana ilimaliza kazi kwa kuweka rekodi nyingine ya kupata ushindi mkubwa Uwanja wa Lake Tanganyika baada ya kuifyatua Mashujaa kwa mabao 5-0. Kabla ya kipigo hicho, Mashujaa ilikuwa haijawahi kufungwa idadi kama hiyo tangu ipande daraja…

Read More

MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI FURSA YA KUONYESHA JUHUDI KATIKA MAENDELEO.

Na.Vero Ignatus,Arusha Zaidi ya wanawake 300 wamejitokeza kufanya usafi katika Jiji la Arusha ikiwa ni Hamasa kwaajili ya siku ya wanawake Duniani utakayofanyika kitaifa 8Machi 2025 ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan anatazamiwa kuwa mgeni Rasmi Akizungumza mwenyekiti wa Kamati ya maandallizi ya Hamasa Hindu Bwengo amesema kuwa maadhimisho hayo…

Read More