Watanzania wapania mzunguko wa pili Uturuki

WATANZANIA wawili wanaokipiga Ligi Kuu ya Walemavu nchini Uturuki, Ramadhan Chomelo anayekipiga Konya Amputee na  Hebron Shedrack wa Sisli Yeditepe wamesema licha ya kuanza mzunguko wa kwanza vibaya, watahakikisha wa pili wanafanya vizuri. Nyota hao ndio pekee kutoka Tanzania wanaocheza soka la ulemavu kwa msimu wa tatu sasa tangu waliposajiliwa mwaka 2022. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

Mayanga ashtukia jambo Mbeya City

KOCHA wa Mbeya City, Salum Mayanga amesema hadi sasa timu hiyo kutoka jijini Mbeya iko katika uelekeo mzuri kutokana na nafasi iliyopo na kuwataka nyota wa kikosi hicho kuongeza umakini zaidi katika maeneo ya ulinzi na ushambuliaji. Akizungumza na Mwanaspoti, Mayanga alisema safu ya ushambuliaji inaonyesha matumaini ingawa changamoto anayoendelea kukabiliana nayo ni kutengeneza balansi…

Read More

Mukombozi afutiwa kadi, refa akaushiwa

BEKI wa Namungo ya Lindi Derrick Mukombozi hatimaye amefutiwa kadi nyekundu ya moja kwa moja aliyopewa kwenye mchezo dhidi ya Simba. Mukombozi alipewa kadi hiyo nyekundu iliyozua utata na mwamuzi Japhet Smarti kutoka Katavi, kwenye mchezi dhidi ya Simba baada ya beki huyo kuwa kua kwenye harakati za kumzuia mshambuliaji Lionel Ateba. Hata hivyo, kadi…

Read More

Rais TEC awataka Wakatoliki wamwombee Papa Francis

Dar es Salaam. Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Wolfgang Pisa amewataka Wakatoliki wamwombee Papa Francis. Askofu Pisa ambaye pia ni Askofu wa Jimbo la Lindi, ametoa wito huo jana Jumamosi Februari 22, 2025, akisema, “Kama mnavyofahamu Baba Mtakatifu wetu Fransisko alilazwa Gemelli Polyclinic, Roma tangu Februari 14, 2025 kwa shida ya afya….

Read More

Mdee, wenzake 18 waanza mbinu kurejea tena bungeni

Dodoma. Joto la uchaguzi limeanza kupamba moto, huku baadhi ya wabunge 19 waliofukuzwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakionyesha mwelekeo wa wapi watakwenda katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. Wabunge hao 19, akiwemo Halima Mdee, walivuliwa uanachama wa Chadema Novemba 27, 2020, wakituhumiwa kwa usaliti, kughushi nyaraka za chama kisha kujipeleka bungeni jijini…

Read More

Straika Mbuni FC atafuta rekodi Championship

MSHAMBULIAJI wa Mbuni, Naku James amesema moja ya malengo yake makubwa aliyojiwekea katika ligi hii ya Championship ni kuivunja rekodi ya mabao aliyoyafunga msimu uliopita, sambamba na kukipigania kikosi hicho kumaliza nafasi nne za juu. Akizungumza na Mwanaspoti, Naku alisema hadi sasa yupo katika njia sahihi ya kutimiza malengo hayo ya kuivunja rekodi yake ya…

Read More

Mashujaa v Yanga ni mechi ya mtego

USHINDI katika dakika 90 Jumapili hii kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma baina ya Mashujaa na Yanga una maana kubwa kwa timu hizo kulingana na msimamo wa Ligi Kuu ulivyo kwa sasa. Kushindwa kupata pointi tatu katika mechi hiyo ambayo itaanza saa 10:00 jioni kutakuwa na athari kubwa kwa timu ambayo itapoteza mchezo huo ambao…

Read More

Zanda amkosha Katwila Bigman FC

KIWANGO kizuri kinachoonyeshwa na mshambuliaji mpya wa Bigman FC, Said Zanda kimemwibua kocha mkuu wa timu hiyo, Zubery Katwila aliyekiri kuridhishwa sana na usajili wake, ambao umeleta manufaa makubwa ya moja kwa moja katika kikosi hicho. Nyota huyo amejiunga na kikosi hicho chenye maskani yake Mkoa wa Lindi dirisha dogo la usajili wa Januari mwaka…

Read More