MAHUBIRI: Kila gumu unalolipitia Mungu akuinulie mtetezi

Bwana Yesu asifiwe, karibu katika tafakari ya neno la Mungu. Nitakayekulisha Neno ninaitwa Mwalimu Peace Rubagora kutoka Busega Simiyu. Kipekee ninamshukuru Mungu kwa kunipa kibali cha kusema na wewe siku ya leo na ni maombi yangu kuwa unaposoma ujumbe huu Roho Mtakatifu akuhudumie, aguse hitaji la moyo wako na amani ya Kristo itawale ndani yako….

Read More

Hizi hapa sababu kutokea dimpozi shavuni, kiunoni

Dar es Salaam. Dimpozi la kwenye shavu ni maarufu kwa kuleta tabasamu la kipekee na mvuto wa aina yake, dimpozi la kiunoni maarufu kama ‘dimples of venus’ ambazo wakati mwingine, huchukuliwa kama ishara ya uwiano sahihi kati ya umri na uzito wa mwili wa muhusika. Kwa mujibu wa utafiti wa American Journal of Physical Anthropology…

Read More

Hizi hapa njia za kukabiliana na miguu inayotoa harufu

Dar es Salaam. Una tatizo la kunuka miguu? Kama jibu ni ndiyo si peke yako mwenye tatizo hilo takwimu zinaonesha asilimia 10 ya watu duniani wana changamoto hiyo. Hata hivyo, wataalamu wanasema ni mara chache mno tatizo hili likahitaji matibabu ya kitabibu kwani linaweza kumalizwa kwa kudhibiti chanzo chake. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Kroko…

Read More

Walipekua simu za wenza wao yakawakuta haya

Mimi sasa hivi sigusi simu… ya mwanamume? Nilishakoma, yaani hizo ndizo zilinibebesha sana mabegi. Simu? Hapana sigusi kabisa.” Huyo ni Rachel Fanuel, mkazi wa Ilemela jijini Mwanza, akielezea jinsi ndoa yake ilivyonusurika kuvunjika zaidi ya mara 10, chanzo kikiwa ni kukagua simu ya mume wake kila akiiacha sehemu ya wazi. Rachel (40), mama wa watoto…

Read More

SERIKALI YATAKA WARATIBU TASAF KUANDAA KANZI DATA YA WANAFUNZI WALIOHITIMU ELIMU YA JUU

Na Mwandishi Wetu,Mbeya SERIKALI imewataka waratibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii nchini (TASAF) kuandaa kanzi data za wanafunzi wanaohitimu elimu ya juu ambao wanaonufaika na mfuko huo kupitia program hiyo ili kujua maendelo yao na kuwakwamua kiuchumi. Pia imewataka kuandaa orodha ya wanafunzi wanaohitimu elimu ya msingi kupitia mpango huo kuiwasilisha ofisi ya Waziri…

Read More

Faida na hasara za majibizano kwenye uhusiano

Sidhani kama kuna ambaye hajawahi kujikuta kwenye majibizano na mpenzi wake, ziko hata nyakati mnaingia katika mlipuko wa majibizano hata mnashindwa kujua sababu ya kujibizana kwenu. Vitu kama vile mmoja kuchelewa kurudi nyumbani, kushindwa kuwasiliana sawa na mwingine alivyotarajia, kushindwa kutoa msaada pale ulipohitajika, hisia za kuwepo kwa uhusiano pembeni, tabia zisizoeleweka baina ya mmoja…

Read More

Wanaume si wepesi kuvunja uhusiano- utafiti

Hatua ya kuvunja uhusiano wa kimapenzi au talaka kwenye ndoa huwa ngumu kwa wanaume ikilinganishwa na wanawake, watafiti wamebaini. Watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Humboldt, Berlin Ujerumani, wamegundua kuwa wanaume huthamini na wanajali sana kuwa kwenye uhusiano kuliko wanawake. Utafiti huu unayeyusha dhana ambayo imekuwepo kuwa wanawake ndio huridhika sana kuwa kwenye mapenzi kuliko wanaume….

Read More