VIFAA TIBA SAHIHI MANUSURA KWA MAGONJWA YA VIDONDA MGANDAMIZO NA UFUPISHO WA MISULI

TAASISI,Makampuni na Mashirika yanayowezesha Vifaa tiba Kwa Watu Wenye Ulemavu Wameshauriwa Kufanya Uchunguzi wa Vifaa tiba Sahihi vya Kuwapatia Walemavu ili Kuwanusuru na changamoto mbalimbali ikiwemo Magonjwa ya Vidonda mgandamizo. Akizungumza wakati wa Semina ya Vifaa tiba sahihi Kwa Walemavu iliyoandaliwa na Taasisi ya Kubuni na Kutengeneza Vifaa saidizi Kyaro Assesive Tech Mkurugenzi wa Taasisi…

Read More

Kama wewe unatumia iPhone hili linakuhusu

Dar es Salaam. Kama wewe ni mtumiaji wa iPhone na vifaa vingine vya kampuni ya Apple hili linakuhsu, unadhani serikali inapaswa kuwa na uwezo wa kufikia taarifa zako binafsi, au Apple inapaswa kuendelea kulinda faragha ya watumiaji? Mwishoni mwa wiki, Apple imeondoa zana yake ya juu zaidi ya ulinzi wa taarifa (Advanced Data Protection –…

Read More

Sh10 bilioni kujenga miundombinu ya kuhifadhia parachichi

Rungwe. Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya itatumia zaidi ya Sh10 bilioni kwa ajili mradi wa ujenzi wa miundombinu ya kisasa ya kukusanyia na kuhifadhi zao la parachichi. Mradi huo umeanza kutekelezwa katika Kijiji cha Nkuga kilichopo katika Kata ya Nkuga wilayani humo, sambamba na ujenzi wa viwanda vidogo vidogo vya kuongezea thamani zao…

Read More

Hizi hapa takwimu za udumavu wa kimo, akili kwa watoto

Dodoma.Tanzania imekuwa ni miongoni mwa nchi ambazo bado zinakabiliwa na changamoto ya udumavu wa kimo na akili kwa watoto. Changamoto hiyo imebainishwa kwenye ripoti ya utafiti uliofanywa na Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania wa mwaka 2022, kwamba mtoto mmoja kati ya watatu wenye umri kati ya mwaka 0-5 wanakabiliwa na tatizo la udumavu wa…

Read More

Faida za mtoto wa kike kujiunga na skauti

Dar es Salaam. Shule za msingi na sekondari za jijini Dar es Salaam zimejitokeza kuadhimisha Siku ya Skauti wa Kike (Girls Guide) huku msisitizo ukitolewa kwa wazazi kuwahamasisha watoto wao kujiunga na kundi hilo. Yakiwa na lengo la kuwajenga watoto wa kike wenye umri mdogo katika kujitambua, kujiamini, na hata kujenga uzalendo katika nchi yao,…

Read More