Beki wa JKT aingia anga za Yanga
UNAIKUMBUKA ile mechi ya kwanza kwa kocha mpya wa Yanga, Hamdi Miloud alipovaana na JKT Tanzania na kulazimisha suluhu kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo? Katika mechi ile kuna mabeki wawili walichezea sifa kwa kuwazuia kabisa nyota wa Yanga, akiwamo Clement Mzize, Prince Dube na Stephane Aziz KI kuendeleza moto wa kugawa dozi kwa wapinzani….