WAZIRI MKUU MAJALIWA KUONGOZA SAMIA MARATHON MKOANI PWANI FEBRUARI 22, 2025″

    Mwamvua Mwinyi, Pwani Februari 20, 2025 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mbio za Samia Marathon zitakazofanyika Februari 22, 2025, katika viwanja vya Shule ya Mtongani, Mlandizi, Kibaha Vijijini, mkoani Pwani. Mbio hizi zinalenga kuhamasisha wananchi kuhusu umuhimu wa kujitokeza kupiga kura wakati wa Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka…

Read More

MKWANJA NJE NJE LEO UEFA EUROPA LEAGUE

MKWANJA leo upo nje nje kama tu utaamua kutengeneza jamvi lako kupitia michezo mikali ya michuano ya Uefa Eropa league ambayo itakua inarindima katika viwanja mbalimbali barani ulaya usiku wa leo. Michuano ya Europa League imekua ikitoa mkwanja wa kutosha kila mara na leo ndio ile siku yenyewe ya kuhakikisha unajipigia maokoto ya kutosha, Kwani…

Read More

WAZIRI SILAA AZINDUA KAMPENI YA SITAPELIKI ARUSHA.

Na Pamela Mollel,Arusha Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mh.Jerry Silaa amezindua kampeni maalum ijulikanayo kama “SITAPELIKI”yenye lengo la kutoa elimu kwa wananchi namna ya kujikinga na utapeli katika mitandao Kampeni hiyo amezindua jijini Arusha katika kikao kazi cha serikali na wadau wa sekta ya mawasiliano na Teknolojia ya habari kuhusu utekelezaji wa mkakati…

Read More

Yanga yatiwa hasira Ligi Kuu

YANGA inapaa leo kwenda Kigoma ikiwafuata wanajeshi wa Mashujaa, lakini kocha wa timu hiyo, Hamdi Miloud amewajaza upepo washambuliaji Prince Dube na Clement Mzize akiwaambia waamue wao kwani kiatu cha ufungaji bora kipo kwenye miguu yao. Kwenye msimamo wa ufungaji kinara wa mabao ni Mzize amefunga 10 sawa na kiungo wa Simba Jean Charles Ahoua…

Read More

Siri ya mama kumtazama mtoto anaponyonyesha

Dar es Salaam. Mama mjamzito anapojifungua mtoto salama ama kwa njia ya kawaida au upasuaji,  hatua inayofuata huwa ni tendo la unyonyeshaji. Hatua hiyo ni muhimu  katika maisha ya mtoto kwani  wataalam wa afya na lishe kote duniani, wanakubaliana kuwa unyonyeshaji ni mojawapo ya njia bora zaidi za kuhakikisha ukuaji na uimara wa afya ya mtoto kimwili na kiakili. Maziwa ya mama yanatajwa kuwa na viinilishe vyote muhimu vinavyomsaidia mtoto kukabiliana…

Read More

Uhusiano wa maumivu ya meno na hedhi kwa wanawake

Wiki iliyopita nilipokea swali kutoka kwa msomaji jina limehifadhiwa, aliuliza ni kwa nini anapata maumivu ya jino anapokaribia kuingia mzunguko wa hedhi na huendelea siku chache hata baada ya hedhi kuisha. Hedhi inapokaribia kiwango cha homoni za kike zijulikanazo kitabibu kama ‘estrogen na progesterone’ huwa juu na husababisha damu kutiririka zaidi kwenye ufizi, hivyo kufanya…

Read More