Kocha Yanga amshangaa Aziz KI, afunguka jambo zito
Imekuwa ni mazoea watu wanaoana huwa na siku 7 za kukaa fungate kwa ajili ya kusherehekea kutimiza ibada hiyo ya ndoa, lakini kwa nyota wa Yanga, Stephane Aziz Ki ni kama suala hilo halipo kutokana na kuwa katika msafara wa wachezaji wa Yanga walioenda mjini Kigoma. Yanga inatarajiwa kushuka kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, kukabiliana…