Takukuru yajitosa tuhuma za rushwa wagombea CCM

Dar/Dodoma. Siku moja baada ya Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi, kueleza kuhusu mbinu mpya za rushwa zinazotumiwa na baadhi ya makada wa chama hicho kuelekea uchaguzi mkuu, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imekiri kuwa na taarifa hizo na inazifanyia kazi. Juzi, Dk Nchimbi alieleza kuwapo kwa vitendo…

Read More

Hizi hapa sababu za kushindwa kudhibiti saratani mapema

Dar es Salaam. Utafiti mpya uliofanywa na Taasisi ya Economic and Social Research Foundation (ESRF) umebaini wagonjwa wa saratani hufika hospitali ugonjwa ukiwa hatua za awali, lakini wataalamu ndio hushindwa kutambua tatizo hilo mapema. Utafiti huo umebani, wagonjwa wengi, hususani wenye saratani ya mlango wa kizazi, ini pamoja na titi, huambiwa wanasumbuliwa na maradhi mengine…

Read More

Kigogo ADC atia nia ya Urais, aanika vipaumbele vitano

Dar es Salaam. Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Alliance For Democratic Change (ADC) Bara, Innocent Siriwa ametangaza ni ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 2025. Siriwa ametangaza uamuzi huo, leo Alhamisi Februari 20, 2025 katika mkutano wake na wanahabari jijini Dar es Salaam akibainisha vipaumbele vitano atakavyovipambania endapo chama chake kitampitisha kuwania…

Read More

Warioba aipongeza CCM kwa mapambano dhidi ya rushwa

Dar es Salaam. Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amepongeza hatua zilizoanza kuchukuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mapambano dhidi ya rushwa kwenye uchaguzi. Jaji Warioba ametoa pongezi hizo akirejea mabadiliko ya Katiba ya CCM yaliyofanywa na mkutano mkuu maalumu wa CCM, yakiwemo marekebisho ya namna ya kupata wagombea wa udiwani, uwakilishi na ubunge,…

Read More

Washtakiwa wa ‘unga’ waihoji Serikali, wajibiwa

Dar es Salaam. Washtakiwa tisa wanaokabiliwa na kesi ya kusafirisha kilo 332 za heroine na methamphetamine, wamehoji upande wa mashtaka uwaeleze upelelezi wa kesi yao umefikia asilimia ngapi. Washtakiwa hao ni mvuvi wa samaki Ally Ally (28) maarufu Kabaisa, Bilal Hafidhi (31) ambaye ni mfanyabiashara; Mohamed Khamis (47) Mvuvi wa samaki na  Idrisa Mbona (33)…

Read More

Jumuiya ya Zimbabwe ya LGBTQI inakabiliwa na shida ya hali ya hewa-maswala ya ulimwengu

Chihwa Chadambuka ni wa jamii ya LGBTQ, ambao wamegeukia kilimo cha hali ya hewa kubadili maoni ya kikundi hicho. Mikopo: Farai Shawn Matiashe/IPS na Farai Shawn Matiashe (Mutare, Zimbabwe) Alhamisi, Februari 20, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Mutare, Zimbabwe, Februari 20 (IPS) – Alishtakiwa vibaya kusababisha ukame, Kundi la watu wa LGBTQI nchini Zimbabwe…

Read More

Chadema: Barua ya Mchome ‘haina mambo magumu’

Dar es Salaam. Uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) umesema barua ya malalamiko kuhusu uteuzi wa viongozi watendaji wa juu na wajumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, iliyowasilishwa na kada wa chama hicho, ‘haina mambo magumu’ ya kukisumbua. Hata hivyo, wakati Chadema kikieleza hayo, kada huyo, Lembrus Mchome, amesema hatakubali kupokea majibu…

Read More