Twiga Stars yaimaliza Guinea, bado 90 ugenini

Twiga Stars imeanza vyema kampeni za michuano ya kufuzu kwa Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026 nchini Morocco, baada ya ikiitandika Equatorial Guinea kwa mabao 3-1 katika mchezo mkali uliopigwa jana, Uwanja wa Azam Complex. Twiga ambayo imekuwa na kikosi bora kwa miaka ya hivi karibuni, ilionyesha kiwango cha juu kwenye mchezo…

Read More

Simba uso kwa uso na Al Masry robo fainali

Droo ya robo fainali ya Kombe la Shrikisho Afrika imepangwa ambapo Simba itavaana na Al Masry ya Misri. Simba ambayo ndiyo timu pekee ya Tanzania iliyobaki kwenye mashindano ya Caf baada ya Yanga, Coastal Union na Azam kuondolewa itaanzia ugenini ambapo mchezo wa kwanza utapigwa Aprili 4 huku wa pili ukipigwa Aprili 10 kwenye Uwanja…

Read More

Upelelezi kesi ya kuchana noti za Sh4.6 bilioni Benki Kuu bado

Dar es Salaam. Upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayowakabiliwa washtakiwa 13 wanaokabiliwa mashtaka ya kuhujumu uchumi, likiwemo la kuharibu noti zenye thamani ya Sh4.6 bilioni bado unaendelea. Kwa pamoja washtakiwa hao wanakabiliwa na mashitaka matano, likiwemo la kuchanachana noti hizo na kuisababishia Benki Kuu ya Tanzania hasara ya Sh4.6 bilioni. Wakili wa Serikali, Winiwa…

Read More

Mfanyabiashara kortini wakidaiwa kukutwa na kemikali za vileo

Moshi. Mfanyabiashara Novita Shirima (49), mkazi wa Katanini na Dereva Justine Mbise (29), mkazi wa Bomambizi wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi wakikabiliwa na mashtaka sita, ikiwemo kumiliki kemikali, inayotumika kutengeneza vileo aina ya ethanol kinyume cha sheria. Pia, wanadaiwa kughushi stempu za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kutumia nembo bandia za bidhaa…

Read More

Bosi Jatu ahoji upelelezi kutokukamilika miaka mitatu

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisitu, imeitaka Serikali tarehe ijayo, itoe majibu sababu gani inayosababisha upelelezi wa kesi ya iwasilishe majibu kuhusiana mshtakiwa, Peter Gasaya (33) ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya JATU PLC, kutokukamilika mpaka sasa. Gasaya anakabiliwa na mashtaka mawili ambayo ni kujipatia Sh5.1 bilioni kwa njia ya udanganyifu na…

Read More

Coastal Union wajiandaa kurudi Mkwakwani

WAKATI wowote Coastal Union inaweza kuishtua Simba ikipanga kuhamisha mchezo huo wa Ligi Kuu utakaopigwa Machi Mosi kwenye Uwanja wa Mkwakwani, jijini Tanga. Tangu msimu uanze Coastal imetumia viwanja vitatu tofauti vya nyumbani ikianza na KMC Complex, kisha Azam Complex na sasa Sheikh Amri Abeid uliopo Arusha kutoka na Mkwakwani kufungiwa ili kupisha mboresho. Wagosi…

Read More