KESI ZA UCHAGUZI ACT WAZALENDO: Shahidi asimulia aliyoyashuhudia mtendaji kata akiingiza kura bandia

Kigoma. Shahidi wa pili katika shauri la uchaguzi wa viongozi wa Mtaa wa Livingstone, Kata ya Singirima, Manispaa ya Kigoma Ujiji, amesimulia aliyoyashuhudia yakijiri ndani ya kituo cha kupigia kura akiwemo watu kupiga kura zaidi ya mmoja na mtendaji Kata alivyoingiza kura bandia. Shahidi huyo Zainabu Hamisi alikuwa wakala wa mgombea wa Chama cha ACT-Wazalendo,…

Read More

Mabadiliko ya Kidigitali Sekta ya Utalii: Benki ya Exim Yazindua Suluhisho la Malipo ya Kisasa katika Z-Summit 2025

Benki ya Exim Tanzania imeimarisha dhamira yake ya kukuza na kuendeleza sekta ya utalii Zanzibar kwa kushirikiana na wadau muhimu wa sekta hiyo, wakiwemo Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), ili kuwezesha waendeshaji wa shughuli za utalii kufanya malipo kama ada za kuingia kwenye hifadhi kwa haraka, kwa usalama…

Read More

'Uimara dhaifu' nchini Libya inazidi kuwa hatarini, Baraza la Usalama linasikia – maswala ya ulimwengu

Rosemary Dicarlo alisema mgawanyiko uliowekwa, udhalilishaji wa kiuchumi, uliendelea ukiukwaji wa haki za binadamu, na kushindana na masilahi ya ndani na nje, endelea kumaliza umoja na utulivu nchini. “Uimara dhaifu nchini Libya unazidi kuwa hatarini,” alionya. “Viongozi wa nchi na watendaji wa usalama wanashindwa kuweka masilahi ya kitaifa mbele ya mashindano yao kwa faida ya…

Read More

Profesa Kaushik aonya unywaji soda asubuhi, usiku

Dar es Salaam. Kama una ratiba za kunywa soda kila siku, hasa aina ya cola upo kwenye hatari zaidi ya kupata ugonjwa wa kisukari, Profesa Kaushik Ramaiya amesema. Amesema kwa kawaida binadamu anatakiwa kula vijiko vitano vya sukari kwa siku, ila baadhi ya vyakula vina sukari iliyozidi mfano soda yenye ujazo wa mil 350 ina…

Read More

Daraja la kwanza Dar ubora, vipaji vyafunika

USHINDANI na viwango bora kutoka kwa nyota wa Polisi na Stein Warriors katika robo zote nne, vimeifanya fainali ya kikapu, Ligi Daraja la Kwanza Dar es Salaam kuwa moja ya michezo iliyovutia zaidi katika michuano hiyo msimu huu. Zikiwa tayari zimeshapanda daraja na msimu ujao zitacheza michuano ya Ligi ya Kikapu Dar es Salaam (DBL)…

Read More