Afya ya uzazi kwa vijana mtegoni USAID ikisitisha misaada

Dar es Salaam. Kama ulidhani kusitishwa kwa misaada ya maendeleo nje ya Marekani, kunawagusa wafanyakazi na walio mstari wa mbele pekee, umekosea. Kukosekana kwa misaada hiyo, kunawaamsha wadau wakisema itarajiwe ongezeko la maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi, magonjwa ya ngono, mimba za utotoni, vifo vitokanavyo na uzazi. Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa…

Read More

MAAFISA HABARI NCHINI WASHUHUDIA MAGEUZI MGODI WA KIWIRA

-Watembelea Kiwanda cha kuzalisha Mkaa wa Rafiki Briquettes -Mkaa wa Kiwira watajwa kuwa bora Mbeya Maafisa Habari kutoka Wizara, Taasisi, Halmashauri na Wakala mbalimbali za Serikali Februari 19, 2024 walitembelea Mgodi wa Kiwira, Wilaya ya Tukuyu Mkoani Mbeya kama sehemu ya mafunzo ya kutoa elimu kwa umma. Ziara hiyo ilikuwa sehemu ya juhudi za kuhamasisha…

Read More

Besigye kuendelea kushikiliwa mahabusu Mahakama ikiahirisha kesi

Kampala. Kiongozi wa upinzani anayeugua nchini Uganda, Dk Kizza Besigye, msaidizi wake Obeid Lutale na mmoja wa mawakili wao watasalia kizuizini hadi baadaye mwezi huu wakati Mahakama Kuu ya Kampala itakapotoa uamuzi wake katika kesi ya kutaka watuhumiwa hao wafikishwe mahakamani, iliyowasilishwa na mawakili wao. Baada ya kusikiliza mawasilisho, hakimu wa Mahakama Kuu, Douglas Karekona…

Read More

Viongozi wa CARICOM wanaanza mkutano wa 48 na kujitolea kwa hatua za pamoja juu ya wasiwasi muhimu, wa kawaida – maswala ya ulimwengu

Waziri Mkuu wa Barbados, mwenyekiti wa CARICOM Mia Mottley katika sherehe ya ufunguzi wa Mkutano wa 48 wa Mkutano wa Wakuu wa Serikali wa Caricom. Mikopo: Alison Kentish/IPS na Alison Kentish (Bridgetown, Barbados) Alhamisi, Februari 20, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Bridgetown, Barbados, Februari 20 (IPS) – Viongozi wa Jumuiya ya Karibi (CARICOM) wanakutana…

Read More