
Wanaodaiwa kuua mwanafamilia, waendelea kusota rumande
Dar es Salaam. Mshtakiwa, Fred Chaula (56) na wenzake wawili, wanaokabiliwa na kesi ya mauaji watalazimika kuendelea kusalia rumande hadi Septemba 8, 2025. Hiyo, inatokana na upelelezi wa shauri hilo kutokamilika, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Mbali na Fredy, washtakiwa wengine ni Bashir Chaula (49) dereva bodaboda na mkazi wa Tegeta pamoja na Denis…