Wanaodaiwa kuua mwanafamilia, waendelea kusota rumande

Dar es Salaam. Mshtakiwa, Fred Chaula (56) na wenzake wawili, wanaokabiliwa na kesi ya mauaji watalazimika kuendelea kusalia rumande hadi Septemba 8, 2025. Hiyo, inatokana na upelelezi wa shauri hilo kutokamilika, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Mbali na Fredy, washtakiwa wengine ni Bashir Chaula (49) dereva bodaboda na mkazi wa Tegeta pamoja na Denis…

Read More

Bado Watatu – 6 | Mwanaspoti

“NIKAITAZAMA namba yake na kuiandika kwenye notibuku yangu kisha nikaingia upande wa meseji zilizotoka ambazo aliziandika marehemu mwenyewe.Huko nilikuta meseji kadhaa lakini nilizozitilia maanani zilikuwa meseji mbili ambazo aliziandika katika tarehe ya jana yake.Moja iliuliza.“Nyumbani wapi?”Ya pili ikauliza.Utakuja saa ngapi?”Nikahisi kwamba meseji hizo zilikuwa majibu ya zile meseji zilizotumwa ambazo moja zilisema; “Itabidi nije nyumbani…

Read More

Buswita: mabao yatafungwa Namungo | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa Namungo, Pius Buswita amesema ujio wa Heritier Makambo katika timu hiyo unaongeza nguvu ya ushindani na namba, idadi ya mabao katika michuano yote ya msimu ujao. Buswita katika misimu miwili Namungo, alifunga jumla ya mabao 10, 2023-2024 mabao saba na msimu uliopita alifunga matatu na asisti mbili, alisema kwa kiwango na kipaji…

Read More

Yusuph Mhilu aongeza mmoja Geita Gold

GEITA Gold ya Championship imemwongezea mkataba wa mwaka mmoja mshambuliaji Yusuph Mhilu kuitumikia timu hiyo msimu ujao wa 2025/2026. Msimu uliopita Mhilu aliifungia timu hiyo mabao 10 na asisti moja, jambo ambalo uongozi wa timu hiyo umeona umuhimu wa kuendelea naye, kutokana na mikakati yao ya kupanda Ligi Kuu. Alipotafutwa Mhilu kuthibitisha hilo alisema baada…

Read More

Bado Watatu – 5 | Mwanaspoti

“SI nimekwambia nina mazungumzo na wewe!” “Kumbe Fadhil hunijui. Nilikuheshimu pale ulipokuwa unaniheshimu. Kama unathubutu kuvunja heshima yangu mbele ya kirukanjia wako yule, nitakuvunjia heshima halafu utaniona mbaya. Mimi sitaki kufuatwa na wewe tena na sihitaji mazungumzo yako.” Bahati njema hapakuwa na watu karibu. Kama wangekuwepo ningekuwa nimeumbuka kutokana na maneno makali niliyokuwa nikiambiwa. Ilikuwa…

Read More

Shilingi yapanda, wanaonufaika ni hawa

Dar es Salaam. Watanzania wanaopanga kuagiza magari, vipuri, ngano, mafuta ya kula na bidhaa nyingine kutoka nje ya nchi wanatarajiwa kunufaika na kupanda kwa thamani ya shilingi, hali itakayopunguza gharama za uagizaji wa bidhaa mbalimbali. Sarafu ya ndani imepata nguvu kubwa dhidi ya Dola ya Marekani katika miezi ya hivi karibuni. Aprili 2025, ilibadilishwa kwa…

Read More

Majaliwa aacha maagizo sita kuboresha elimu ya watu wazima

Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ametoa maagizo sita kwa Wizara ya Elimu na Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) yanayolenga kuongeza ufikiaji wa watu wazima wanaohitaji kusoma na kujiendeleza zaidi. Majaliwa ametoa maagizo haya wakati ambao zaidi ya wasichana 13,000 waliokuwa wamekatisha masomo kwa sababu mbalimbali wamefanikiwa kurudi shuleni kupitia…

Read More

Polisi wanne wa Intelijensia Moshi kortini wakidaiwa kutumia silaha kuiba bodaboda

Dar es Salaam. Askari wanne wa Kitengo cha Intelijensia cha Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Moshi, mkoani Kilimanjaro, wakikabiliwa na shtaka la wizi wa pikipiki ya abiria maarufu bodaboda kwa kutumia silaha. ‎Maofisa hao wa Polisi, wanatuhumiwa kuiba pikipiki hiyo mali ya Ramadhani Singe katika kambi ya Polisi….

Read More

Bado Watatu – 4 | Mwanaspoti

KADHALIKA katika chupa hizo pia kutakuwa na alama zao za vidole kwa vile kila mmoja alikuwa akishika chupa na kujimiminia. Baada ya kuwaza hivyo niliinuka nikaenda pale kando ya meza na kuzitazama zile bilauri bila kuzigusa. Nikahisi kwamba alama zao zilikuwepo. Nikatoa kitambaa kutoka mfukoni mwangu na kumwambia mwenyeji wangu anipatie mfuko ili nitie zile…

Read More