Jinsi kaburi la aliyenyofolewa sehemu za siri lilivyofukuliwa

Geita. Upande wa mashtaka katika kesi inayowakabili washtakiwa wanne wanaodaiwa kumuua Joyce Ludeheka kwa kumkata na kitu chenye ncha kali kisha kukata sehemu yake ya siri na kuikausha, umeieleza mahakama namna kaburi lilivyofukuliwa na kuchukua sampuli kwa ajili ya vipimo vya vinasaba. Kesi hiyo iliyopo Mahakama Kuu, Masjala ndogo ya Geita, mashahidi wanne wametoa ushahidi…

Read More

Ma-DC watwishwa mzigo utatuzi wa migogoro familia, ardhi

Ruangwa. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wakuu wa wilaya kuhakikisha wanasimamia utatuzi wa migogoro ya wosia, ardhi na ile ya kifamilia kwenye maeneo yao. Waziri Mkuu Majaliwa ameyasema hayo kwenye uzinduzi wa kampeni ya kitaifa ya msaada wa kisheria ya Mama Samia leo Februari 19 2025 katika uwanja wa Madini wilayani Ruangwa Mkoa wa Lindi….

Read More

POLISI FAMILI DAY CUP YAZINDULIWA RASMI MKOANI SONGWE

Wananchi Mkoa wa Songwe wametakiwa kuhakikisha wanashiriki katika michezo mbalimbali ili waepukane na vitendo vya uhalifu ambavyo vinaweza kuleta madhara kwa jamii. Hayo yalisemwa Februari 19, 2025 na Afisa Mnadhimu wa Polisi Mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Akama Shaaban wakati akifungua Mashindano ya Polisi Famili Day Cup ambayo yanafanyika katika Viwanja vya…

Read More

$ 53.2 bilioni zinazohitajika kwa uokoaji wa Palestina, UN inalaani uvamizi wa shule za UNRWA, mvutano wa Lebanon-Israel unaendelea-Maswala ya Ulimwenguni

“Wapalestina watahitaji hatua za pamoja kushughulikia changamoto kubwa za kupona na ujenzi ulio mbele. Mchakato endelevu wa kupona lazima urejeshe tumaini, hadhi, na maisha kwa watu milioni mbili huko Gaza, “alisema Muhannad Hadi, Mratibu wa UN na Mratibu wa Kibinadamu katika eneo lililochukuliwa la Palestina. Tathmini inakadiria kuwa $ 29.9 bilioni inahitajika kukarabati miundombinu ya…

Read More

‘Birthday’, vifo na ndoa vinavyotumika kusaka uteuzi wa udiwani, ubunge CCM

Dodoma/Dar. Joto la uchaguzi mkuu linazidi kupanda na kuwafanya wanasiasa kuwa wabunifu katika kuhakikisha wanapata nafasi za uteuzi. Ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mambo yamezidi kupamba moto wakati ikiwa imesalia miezi takribani saba kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika baadaye mwaka huu. Kinachoendelea kwa sasa ndani ya chama hicho ni uwepo wa makada wakiwemo wabunge,…

Read More

Mifumo mitano ya Tehama kukuza uchumi wa kidijitali

Arusha. Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, katika kipindi cha mwaka 2024/25 imewezesha ujenzi wa mifumo mitano ya Kitaifa ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama), itakayochangia maendeleo ya nchi hususani ukuzaji wa uchumi wa kidijitali. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Maryprisca Mahundi, akifungua mkutano wa Baraza la…

Read More