Aweso awataka Dawasa wasizoee matatizo ya wananchi

Dar es Salaam. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amewataka watumishi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa) kutokubali kuzoea matatizo ya wananchi bali wayashughulikie kwa kasi kubwa. Ameyasema hayo leo Jumanne, Februari 18, 2025 katika kikao kazi kati ya Dawasa na wenyeviti wa serikali za mitaa wilaya ya Kinondoni akisema…

Read More

UN yathibitisha mauaji ya watoto Bukavu DRC

Ofisi ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa, imethibitisha mauaji ya watoto wiki iliyopita katika Mji wa Bukavu, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Taarifa iliyochapishwa leo Jumanne Februari 18, 2025 mtandao wa RFI imeeleza kuwa Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu, Volker Türk amethibitisha mauaji ya watoto…

Read More

Hakimu agoma kujitoa kesi za uchaguzi anazozisikiliza

Kigoma. Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Kigoma, Ana Kahungu ametupilia mbali pingamizi na hoja za mawakili wa Serikali kuhusu uhalali wa kuendelea kusikiliza mashauri mawili ya uchaguzi wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024. Akizungumza leo Jumanne Februari 18, 2025 kuhusu mawakili hao kutaka ajitoe katika shauri hilo, hakimu Kahungu…

Read More

Mikoa 15 kupata mvua kuanzia saa 3 usiku wa leo

Dar es Salaam. Baadhi ya maeneo ya mikoa 15 inatarajiwa kupata mvua kwa saa 24 zijazo kuanzia saa tatu usiku, kwa mujibu wa Mamlala ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA). Mikoa hiyo ni pamoja na Kagera, Geita, Kigoma, Tabora, Katavi, Morogoro, Rukwa, Ruvuma, Iringa, Songwe, Njombe, Lindi, Mtwara, Rukwa na Mbeya. Kwa mujibu wa taarifa…

Read More

Mikoa 15 kupata mvua kuanzia saa 3 usiku huu

Dar es Salaam. Baadhi ya maeneo ya mikoa 15 inatarajiwa kupata mvua kwa saa 24 zijazo kuanzia saa tatu usiku, kwa mujibu wa Mamlala ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA). Mikoa hiyo ni pamoja na Kagera, Geita, Kigoma, Tabora, Katavi, Morogoro, Rukwa, Ruvuma, Iringa, Songwe, Njombe, Lindi, Mtwara, Rukwa na Mbeya. Kwa mujibu wa taarifa…

Read More

MAAFISA USHIRIKA KANDA YA KASKAZINI WAPATIWA MAFUNZO YA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA

Mkuu wa Mkoa ya Manyara, Mhe.Queen Sendiga,akizungumza leo Februari 18,2025 wakati akifungua Mafunzo ya Usimamizi wa Vyama vya Ushirika kwa Maafisa Ushirika wa Kanda ya Kaskazini mjini Babati – Manyara ambayo yataendelea mpaka tarehe 28/02/2025 ambayo yamejumuisha Maafisa Ushirika 116. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayesimamia Ushirika na Umwagiliaji, Dkt. Stephen Nindi,akizungumza wakati…

Read More

Pacha waliotenganishwa waruhusiwa kuondoka Muhimbili

Dar es Salaam. Pacha waliotenganishwa nchini Saudi Arabia, Hussein na Hassan Amir (3), wameruhusiwa kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), wakitarajiwa kurejea Igunga, mkoani Tabora kesho, Februari 19, 2025, baada ya kupata eneo la kuishi. Watakwenda kuishi kwenye nyumba iliyotafutwa na ofisi ya mkuu wa mkoa wa Tabora, wakati wakisubiri nyumba inayojengwa kukamilika. Akizungumza na…

Read More