JKT Tanzania yapata ushindi, KenGold yatakata

Ushindi wa mabao 2-0 ambao wameupata JKT Tanzania, katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC umewafanya Maafande hao kupanda nafasi sita kwenye msimamo wa ligi hiyo, huku KenGold ikiendeleza moto. Awali JKT ambao hawakuonja ushindi katika michezo minane iliyopita sawa na dakika 720, walikuwa nafasi ya 12 kwenye msimamo wa ligi hiyo wakiwa…

Read More

Maseke aingia anga za wazee wa kujiweka

KIPA Wilbol Maseke ameingia katika orodha ya wachezaji waliojifunga Ligi Kuu Bara hadi sasa baada ya jioni ya leo kujikwamisha wavuni wakati akitaka kuokoa mpira wa kichwa uliopigwa na kiungo Hassan Nassor Maulid ‘Machezo’ wakati wakilala mabao 2-0 mbele ya JKT Tanzania. Katika pambano hilo lililopigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex, jijini Dar es Salaam,…

Read More

GLOBAL PEACE FOUNDATION WAZINDUA MRADI WA JAMII SHIRIKISHI KATIKA UZALENDO KANDA YA KUSINI.

Shirika la Kimataifa lisilo la Kiserikali linalofanya kazi ya kuhamasisha amani,umoja na maendeleo endelevu kupitia miradi mbalimbali (Global PeaceFoundation )limezindua mradi wa jamii shirikishi katika uzalendo kwa kanda ya kusini. Mradi huo uliopo chini ya udhamini wa ubalozi wa Netherlands umezinduliwa leo Februari 18,2025 Mkoani Lindi ambapo utatekelezwa kwa kipindi cha mwaka mmoja ukijikita kuboresha…

Read More

Ali Kamwe afichua siri yake na Mobetto

NDOA ya mastaa wawili, wa soka Stephane Aziz KI na mfanyabiashara na mjasiriamali, Hamisa Mobetto bado imebaki vichwani mwa watu, wengi wakiendelea kuwapongeza kutokana na kufanikisha jambo hilo muhimu katika maisha yao. Ndoa hiyo pia imeacha mjadala kutokana na ustaa wa wawili hao na wamewahi kuhusishwa kimapenzi na mastaa wengine ikiwamo Hamisa na Ali Kamwe….

Read More

DCEA yanasa bustani ya bangi ndani ya nyumba

Dar es Salaam. Licha ya udhibiti mkali wa kilimo cha bangi, wakulima wamebuni mbinu mpya za kukwepa mkono wa dola, ikiwemo kupanda miche kwenye makopo. Mkoani Arusha, Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imemkamata mtu anayedaiwa kuotesha miche ya bangi ndani ya nyumba yake. Mtuhumiwa huyo, ambaye jina lake halijawekwa wazi,…

Read More

Serikali kuzibana SImba, Yanga ishu ya viwanja

Serikali imepanga kutoa maelekezo kwa timu zinazoshiriki Ligi Kuu zikiwemo Simba na Yanga kuwa na viwanja vyao vitakavyotumika kwa mechi za mashindano kwa sababu miundombinu ni uti wa mgongo wa michezo nchini. Hayo yamesemwa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Neema Msitha wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio na…

Read More

CRDB yavuka lengo mauzo ya hatifungani ya miundombinu

Dar es Salaam. Benki ya CRDB imetangaza mafanikio makubwa ya hatifungani ya miundombinu ya ‘Samia Infrastructure Bond,’ iliyovuka lengo kwa asilimia 115, ikikusanya Sh323bilioni ambayo ni zaidi ya mara mbili ya lengo la kukusanya Sh150 bilioni. Leo Februari 18, 2025 wakati wa maadhimisho ya miaka 30 tangu kuanzishwa kwake, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB,…

Read More

Janja ya Pamba Jiji iko hapa

NYOTA wawili wa Pamba Jiji FC, Mkenya Mathew Momanyi Tegisi na Abdoulaye Yonta Camara raia wa Guinea, wameongeza mzuka ndani ya kikosi hicho kutokana na mchango wao wanaouonyesha kikosini, tangu wajiunge dirisha dogo la Januari mwaka huu. Momanyi ametokea Shabana FC ya kwao Kenya, huku kwa upande wa Camara akijiunga na kikosi hicho kwa mkopo…

Read More