Museveni atoa kauli Besigye kuendelea kushikiliwa

Rais Yoweri Museveni ameweka wazi msimamo wake kuhusu utata unaozunguka kizuizini kwa Dk Kizza Besigye akisema kuwa swali sahihi siyo kwa nini Dk Besigye alipelekwa rumande, bali ni kwa nini alikamatwa. “Iwapo unataka nchi yenye utulivu, swali sahihi zaidi linapaswa kuwa: Kwa nini Dk Besigye alikamatwa?” Museveni amesema. “Jibu la hilo ni kesi ya haraka…

Read More

WAZIRI MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKA AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA USWISI NCHINI

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud T. Kombo (Mb.) amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Uswisi nchini, Mhe. Nicole Providoli yaliyofanyika katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam tarehe 18 Februari 2025 Madhumuni ya mazungumzo hayo yalikuwa ni Mhe. Providoli kujitambulisha rasmi kwa Mhe. Waziri Kombo…

Read More

600 wafanyiwa upasuaji mtoto wa jicho

Unguja. Wagonjwa 15,115 wamepatiwa matibabu katika Hospitali ya Kikosi cha Kuzuia Magendo Zanzibar (KMKM), kati ya hao 600 wamefanyiwa upasuaji wa macho, ikiwamo utoaji wa mtoto wa jicho. Matibabu hayo yalifanyika katika kambi ya wiki moja iliyofanyika mwishoni mwa mwaka jana. Dk Hussein Khamis Othman, amesema hayo leo Jumanne Februari 18, 2025 aliposoma risala ya…

Read More