Jeshi La Rwanda Limeingia Bukavu – Global Publishers
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imesema kuwa jeshi la Rwanda na washirika wake wameingia katika mji wa Bukavu, mashariki mwa nchi hiyo, katika jimbo la Kivu Kusini, na kuwataka wananchi kuwa macho. Wizara ya Mawasiliano ya DRC imesema kupitia mtandao wa X kwamba: “Serikali inafuatilia hali inayoendelea Bukavu, kufuatia…