Mapya yaibuka kwa mastaa Singida BS, Jaji atoa tamko

Mahakama Kuu ya Tanzania, masjala kuu ya Dodoma imeamuru kuitwa kortini wachezaji nyota watatu wa timu ya Singida Black Stars (SBS), ili kujibu madai dhidi yao katika kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Wakili Peter Madeleka. Amri hiyo umetolewa baada ya wachezaji hao, Emmanuel Keyekeh, raia wa Ghana, Josephat Bada (Ivory Coast) na Muhamed Camara (Guinea)…

Read More

Piga Mpunga Ijumaa ya Leo na Meridiabet

WIKIENDI ndio hiyo imefika ya wewe kuondoka na maokoto kibao ndani ya Meridianbet ambapo mechi nyingi zinaenda kupigwa hapo baadae. Ingia kwenye akaunti yako na ujipigie mkwanja leo. Ligi kuu ya Uingereza, EPL leo hii kuna mechi kali kabisa ambapo Brighton atakuwa mwenyeji wa Chelsea ambao mechi ya mwisho wamepigika. The Blues chini ya kocha…

Read More

HAKUNA TRA BILA WAFANYABIASHARA – CG MWENDA

  Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda amesema hakuna TRA bila kuwepo wafanyabaishara hivyo, TRA ina jukumu la kuhakikisha ustawi wa biashara nchini ili iendelee kuwepo na kukusanya kodi. Ameyasema hayo wakati wa kikao na wafanyabiashara mkoani Ruvuma tarehe 13/02/2025 ikiwa ni mwendelezo wa ziara zake za kuwatembelea wafanyabiashara,…

Read More

Jaji atoa amri, mastaa Singida BS wafike mahakamani

Mahakama Kuu ya Tanzania, masjala kuu ya Dodoma imeamuru kuitwa kortini wachezaji nyota watatu wa timu ya Singida Black Stars (SBS), ili kujibu madai dhidi yao katika kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Wakili Peter Madeleka. Amri hiyo umetolewa baada ya wachezaji hao, Emmanuel Keyekeh, raia wa Ghana, Josephat Bada (Ivory Coast) na Muhamed Camara (Guinea)…

Read More