 
        
            Simchimba ajichomoa mbio ufungaji | Mwanaspoti
MSHAMBULIAJI wa Geita Gold, Andrew Simchimba amesema licha ya kasi yake katika kufunga mabao akiwa na kikosi hicho msimu huu, ila hana malengo ya kutwaa kiatu cha ufungaji bora, zaidi ya kutaka kuipambania timu hiyo kwanza kurejea Ligi Kuu. Simchimba anashika nafasi ya pili kwa mastaa waliofunga mabao mengi hadi sasa baada ya kutupia kambani…
 
                         
                         
                         
                         
                         
                         
         
        