Simchimba ajichomoa mbio ufungaji | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Geita Gold, Andrew Simchimba amesema licha ya kasi yake katika kufunga mabao akiwa na kikosi hicho msimu huu, ila hana malengo ya kutwaa kiatu cha ufungaji bora, zaidi ya kutaka kuipambania timu hiyo kwanza kurejea Ligi Kuu. Simchimba anashika nafasi ya pili kwa mastaa waliofunga mabao mengi hadi sasa baada ya kutupia kambani…

Read More

Mavunde apiga marufuku leseni za madini bila uongezaji thamani

Dodoma. Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amepiga marufuku utoaji wa leseni kwa wawekezaji wa madini wasio na teknolojia ya kuongeza thamani ya madini. Mavunde ametoa kauli hiyo leo Jumapili, Februari 16, 2025, alipotembelea kiwanda cha kuongeza thamani ya madini cha Shengde Precious Metal Co. kinachojengwa katika Kata ya Nala, jijini Dodoma. “Mwekezaji yeyote anayetaka leseni…

Read More

Majaliwa: Rais Samia ni tiba ya maendeleo

Maswa. Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ni tiba ya maendeleo, hivyo Watanzania wanapaswa kwenda naye kwa kuwa ataifikisha nchi kule kunakotarajiwa. Majaliwa ambaye pia ni Waziri Mkuu amesema Rais Samia ni kiongozi anayeona, kusikiliza na kutatua changamoto za Watanzania kwa ustadi wa hali ya…

Read More

Hofu yatanda wabunge kurejea bungeni

Dodoma. Uhai wa Bunge la Tanzania uko mbioni kutamatika huku wabunge wakiwa matumbo joto wasijue iwapo wananchi watawarejesha katika muhimili huo wa kutunga sheria na kusimamia Serikali au watawekwa kando. Uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na urais utafanyika Oktoba 2025. Tayari homa ya uchaguzi mkuu kwa wabunge imeonekana katika mkutano wa 18 wa Bunge la…

Read More

Matata hakijaeleweka Transit Camp | Mwanaspoti

KOCHA wa Transit Camp, Stephen Matata amesema ana kazi kubwa ya kufanya ndani ya timu hiyo baada ya kushuhudia akipoteza michezo mitatu mfululizo tangu ateuliwe kukiongoza kikosi hicho Januari 13, mwaka huu akichukua nafasi ya Ally Ally. Matata ameiongoza timu hiyo katika michezo mitatu kabla ya ule wa jana ugenini dhidi ya Polisi Tanzania na…

Read More

Kwa mkwamo huu, mnaonaje Katiba mpya ikaandikwa na wasomi?

Ni ukweli ulio dhahiri kuwa Tanzania tuko katika mkwamo wa safari ya kuandika Katiba mpya na ukichunguza sana utabaini maslahi ya kisiasa ndio kizingiti cha mchakato huu, ndio maana nauliza, mnaonaje Katibampya ikiandikwa na wasomi? Nasema hivyo kwa sababu ukichunguza mkwamo tulio nao, kwa sehemu kubwa unatokana na wahafidhina (conservatives) ndani ya Chama cha Mapinduzi…

Read More

RSF yashambulia Kambi ya Wakimbizi Sudan

Khartoum. Kundi la wanamgambo wa Jeshi la Msaada wa Haraka (RSF) limeongeza mashambulizi katika Kambi ya Wakimbizi ya Zamzam karibu na El-Fasher, Mji Mkuu wa Darfur Kaskazini, ambayo inakabiliwa na njaa. Hatua hiyo inadaiwa kuwa sehemu ya juhudi za kundi hilo kuimarisha udhibiti wake eneo la Darfur, ambalo kihistoria limekuwa ngome yake ya kijadi. Mapigano…

Read More

Kazi iliyo mbele ya mwenyekiti mpya wa AUC

Dar es Salaam. Mwenyekiti mpya wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC), Mahmoud Youssouf, anakabiliwa na changamoto lukuki zinazolikabili Bara la Afrika kwa sasa, ikiwemo mapigano Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na kukatwa kwa misaada inayotolewa na Serikali ya Marekani kwa Afrika. Youssouf, ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Djibouti,…

Read More