Maajabu ya nywele anazozaliwa nazo kichanga

Dar es Salaam. Katika kipindi cha ujauzito,mtoto akiwa tumboni hupitia mabadiliko mengi ya ajabu,na moja ya mabadiliko hayo ni pamoja na ‘Lanugo.  Kwa mujibu wa utafiti wa International Journal of Pediatric Research wa mwaka 2018, Lanugo ni nywele nyepesi zinazokuwa kwenye mwili wa mtoto mchanga, ambapo kazi yake kubwa ni kudhibiti joto la mwili wa…

Read More

Kahawa inavyosaidia wazee kurudisha nguvu mwilini

Unywaji wa kahawa unasaidia katika kuimarisha misuli ya mwili miongoni mwa wanaume wakongwe, wanasayansi wamebaini.  Wengi ambao wamefikia ukongwe, huwa na tatizo la misuli yao kuisha nguvu au kulegea, ugonjwa ambao unafahamika kwa kimombo kwa jina la ‘Sarcopenia’. Ugonjwa huo hulemaza uwezo wa mwanaume kuwajibika kwa kaz za kawaida zikiwamo za nyumbani. Hii ni kwa…

Read More

Chama la Wana yashtuka, yasuka pacha ya mabao

KOCHA wa Stand United ‘Chama la Wana’, Juma Masoud amesema kwa sasa anatengeneza safu kali ya ushambuliaji katika timu hiyo itakayozungukwa na nyota, Msenda Amri Msenda na Omary Issa ‘Berbatov’, kutokana na kiwango bora wanachokionyesha. Nyota hao wawili kwa pamoja wamefunga mabao 10 kati ya 29, yaliyofungwa na timu nzima na Msenda Msenda amefunga sita…

Read More

Mtanzania aanza kuzoea mazingira Misri

MSHAMBULIAJI wa Makadi FC, Oscar Evalisto amesema ameanza kuyazoea mazingira ya soka la Misri na licha ya timu hiyo kushiriki daraja la pili, anakiri ni ligi ngumu na ngeni kwa upande wake. Evalisto alisajiliwa hivi karibuni na timu hiyo akitokea Mlandege FC ya Zanzibar kwa mkataba wa miezi sita. Akizungumza na Mwanaspoti, Evalisto alisema licha…

Read More

Ngumi taifa wanawake kambini | Mwanaspoti

MABONDIA 16 wa timu ya Taifa ya ngumi, wameingia kambini jana Jumapili tayari kwa maandalizi ya ushiriki wa mashindano ya Ubingwa wa Dunia kwa Wanawake yatakayofanyika katika Jiji la Nis, Serbia Machi 8-16 mwaka huu. Kambi ya timu hiyo iliyoanza jana saa 3 asubuhi na itakayokuwa chini ya makocha watatu, daktari mmoja na mwamuzi mmoja…

Read More

Ndinga hili tishio jipya mbio za magari

MAFANIKIO yaliyoletwa na Kampuni ya magari ya Toyota kutokana na ubora wa gari lao aina ya Toyota R5, yamewapa mzuka madereva wa mbio hizo kutaka kuendelea nayo katika mashindano yajayo. Gari hilo lililoendesha na dereva Yassin Nasser na msoma ramani wake Ally Katumba kutoka Uganda lilisababisha kumaliza wakiwa washindi na kutwaa ubingwa wa Taifa kitengo…

Read More

Mechi tano za Chippa United bila Majogoro

WAKATI Chippa United ya Afrika Kusini anayeichezea Mtanzania, Baraka Majogoro ikiwa mkiani mwa msimamo wa ligi baada ya michezo 15, nyota huyo amekosekana katika michezo mitano ya mwisho. Majogoro anabakia kuwa Mtanzania pekee kwenye ligi hiyo baada ya Abdi Banda aliyekuwa anakipiga Baroka FC kurudi Bongo na kutua Dodoma Jiji, huku Gadiel Michael akienda zake…

Read More

‘Zanzibar iongeze vivutio vya utalii’

Unguja. Wakati wageni 84,069 wakiingia Zanzibar Januari mwaka huu,  wataalamu wa uchumi na takwimu, wameshauri kuongeza vivutio ili kuepusha watalii kuishia hotelini. Pia, wamesema umefika wakati wa kuongeza nguvu ya kutangaza vivutio hivyo katika mabara ya China na Afrika ili kupata wageni wengi. Mtaalamu wa Uchumi na Takwimu kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Tawi…

Read More

Nini hatima ya Odinga baada ya mapito yaliyojaa mikosi?

Dar es Salaam. Kushindwa kwa Raila Odinga katika kinyang’anyiro cha Uenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC) kunaibua swali kubwa: nini mustakabali wa kisiasa wa mwanasiasa huyo mkongwe mwenye umri wa miaka 79? Katika uchaguzi uliofanyika Februari 15, 2025, jijini Addis Ababa, Ethiopia, Waziri wa Mambo ya Nje wa Djibouti, Mahmoud Youssouf, alishinda kwa…

Read More