Leyla Genius Atokwa Machozi, Zari Mapito Amfanyia Surprise Valentine – Video – Global Publishers

Habari njema! Binti Leyla (23) aliyepata scholarship ya kusomea udaktari India na kukatisha masomo yake kwa ugonjwa, tayari ameanza mazoezii ya kukaa na anaendelea vizuri ambapo amesema hivi sasa hata watu wakimuona hajisikii vibaya tena kwani anaamini atapona. Furaha ya Leyla imeongezeka baada ya @zali_mapito kumfanyia surprise kwenye siku ya ‘Valentine’ Februari…

Read More

Wakulima wa mwani walalama kukosa mbegu bora

Unguja. Wakulima wa mwani kisiwani Unguja wameeleza ukosefu wa mbegu bora za uzalishaji zao hilo hivyo kurudisha nyuma jitihada zao. Wakulima hao wameeleza changamoto hiyo jana, Jumamosi Februari 15, 2025, wakati wa hafla ya kukabidhiwa vifaa vya kupandia mwani na ukaguzi wa mashamba darasa ya utafiti wa mbegu bora za mwani katika Pwani Mchangani, Mkoa…

Read More

Bibi wa miaka 113 azikwa Rombo, aacha wajukuu 54

Rombo. Mwili wa bibi kizee, Mariana Assenga(113), mkazi wa Kijiji cha Mengwe chini, wilayani Rombo, Mkoa wa Kilimanjaro umezikwa huku ndugu, jamaa na marafiki wakitoa simulizi mbalimbali. Kikongwe huyo aliyezaliwa mwaka 1912 alihitimisha safari yake ya mwisho hapa duniani kwa kuzikwa jana Jumamosi, Februari 15, 2025 kijijini kwake huku akiacha vilembwe watano, vitukuu 74, wajukuu…

Read More

Mastaa hawa wape mpira tu!

WAKATI Yanga na Simba zikiendelea kupigana vikumbo nafasi mbili za juu katika msimamo wa Ligi Kuu Bara, kuna siri imejificha kwa nyota wa timu hizo, Stephane Aziz KI na Leonel Ateba. Siyo Yanga na Simba tu, lakini kila timu katika ligi hiyo inapambana kuweka mambo sawa, lakini mastaa wa vikosi 16 vinavyoshiriki hawalali usingizi mzuri…

Read More

MAHUBIRI: Hitaji muhimu ni kumpa Mungu nafasi ya kwanza

Bwana Yesu asifiwe… Wakati fulani nimewahi kufundisha somo linaloitwa “Vipaumbele vya Mwamini.” Katika somo hilo nilipewa msukumo wa kuonesha jinsi ambavyo kuna mambo yanatakiwa kupewa nafasi ya kwanza kabla ya mengine katika maisha ya mwanadamu. Watu wengi wamefanya kosa la kufanya mambo ya kwanza kuwa ya pili na ya pili kuwa ya kwanza katika maisha…

Read More

Lina Tour sasa kuanzia Moro

RAUNDI ya kwanza ya michuano ya Lina Tour kwa mwaka huu inatarajiwa  kufanyika katika viwanja vya Gymkhana, mjini Morogoro na si Arusha kama ilivyotangazwa awali. Kabla ya mabadiliko haya, raundi ya kwanza ya Lina Tour ilipangwa kuanza Februari 20 hadi 23, katika viwanja vya Arusha Gymkhana na sasa raundi ya kwanza itaanza Februari 27 hadi…

Read More

Kocha Yanga aanza jeuri, atoa ahadi ya kibabe

UNAJUA nini? Juzi, Yanga ilikuwa mzigoni dhidi ya KMC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ambapo bwana harusi mtarajiwa, Aziz KI alitupia mabao matatu yaani hat trick katika ushindi wa vyuma 6-1 walivyoishindilia timu hiyo, lakini nyuma yake kocha wa mabingwa hao watetezi wa ligi ameanza mambo. Mechi ya juzi ilikuwa ya kwanza kwa kocha Miloud…

Read More

Fadlu awabakiza mastaa Simba Kambini

KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids amesema licha ya wachezaji kuwa katika fomu nzuri ya ushindani, lakini amegoma kuwapa mapumziko wakati mchezo wao na Dodoma Jiji ukiwa umeahirishwa kwa kuhofia kupoteza utimamu wa mwili kabla ya kuvaana na Namungo wiki ijayo. Fadlu ameyasema hayo kutokana na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kuahirisha mchezo wa…

Read More

Watu 28 wadaiwa kushambuliwa na mamba Mvomero

Mvomero. Watu 28 wa Kijiji cha Lukenge, Kata ya Mtibwa, wilayani Mvomero wanadaiwa kufariki dunia kwa kushambuliwa na mamba katika kipindi cha miaka 25 iliyopita. Hali hiyo imezua hofu kwa wananchi wa kijiji hicho, ambao wameiomba Serikali kuchukua hatua madhubuti kukomesha mashambulizi hayo ambayo yamewaacha watoto yatima na kusababisha majeraha ya kudumu kwa waathirika. Kati…

Read More

Opah kuanza na Chama la Enekia

MSHAMBULIAJI wa FC Juarez ya Mexico, Opah Clement anatarajia kucheza mchezo wake wa kwanza dhidi ya Chama la Mtanzania mwenzake, Enekia Lunyamila, Mazaltan. Hii ni mara ya kwanza kwa nyota huyo wa zamani wa Simba Queens kuitumikia timu kutoka Mexico ambayo pia anachezea mbongo mwenzie beki Julietha Singano ambaye yuko nchini humo kwa msimu wa…

Read More