Bibi kizee wa miaka 113 azikwa Rombo, aacha wajukuu 54

Rombo. Mwili wa bibi kizee, Mariana Assenga(113), mkazi wa Kijiji cha Mengwe chini, wilayani Rombo, Mkoa wa Kilimanjaro umezikwa huku ndugu, jamaa na marafiki wakitoa simulizi mbalimbali. Kikongwe huyo aliyezaliwa mwaka 1912 alihitimisha safari yake ya mwisho hapa duniani kwa kuzikwa jana Jumamosi, Februari 15, 2025 kijijini kwake huku akiacha vilembwe watano, vitukuu 74, wajukuu…

Read More

Mtoto wa Museveni atishia kuishambulia DRC

Dar es Salaam. Jenerali Muhoozi Kainerugaba, mtoto wa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, na Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Uganda (UPDF), ametishia kushambulia na kuuteka mji wa Bunia, uliopo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Katika chapisho lake kwenye mtandao wa X Februari 15, 2025, Jenerali Kainerugaba alisema: “Bunia hivi karibuni itakuwa mikononi…

Read More

Ndoa yako imejengwa kwa nguzo ngapi?

Ndoa inaweza kuwa nzuri au mbaya. Pia, ndoa inaweza kujengwa au kubomolewa. Wajenzi na wabomozi wa ndoa ni wanandoa. Ndoa, kama taasisi yoyote ina changamoto zake. Kuna kufanya makosa kwa sababu, kama binadamu yeyote, hufanya makosa. Pia, yanapofanyika makosa lazima kuwepo na suluhu na namna ya kufikia suluhu. Leo tutaongelea ulazima na umuhimu wa wanandoa…

Read More

Wanaume wanavyokufa na tai shingoni

Wanaume wamekuwa wakielemewa na matatizo ya msongo wa mawazo kutokana na changamoto za kikazi na kifamilia. Hata hivyo, imebainika kuwa wengi wao huchelea kufichua matatizo yao kwa wenzao kazini au watu wa familia zao. Hii ndiyo maana miongozo ya kiserikali inawahitaji waajiri kutekeleza mipango ya kuwasaidia wafanyakazi kukabiliana na hali zinazoweza kuwasababishia msongo wa kiakili….

Read More

Huu ndio umri sahihi kwa mtoto kuanza kuadhibiwa

Dar es Salaam. Katika mchakato wowote wa malezi, adhabu inatajwa kuwa sehemu mojawapo ya mzazi au mlezi kumfunda mtoto vile anavyotaka. Hata hivyo, changamoto inabaki ni wakati gani mtoto anapaswa kuadhibiwa, aina gani ya adhabu apewe na itolewe kwa namna ipi. Ni kutokana na changamoto hii, si taarifa ngeni kusikia watoto wadogo ambao nasaha za…

Read More

Bidhaa hizi zapaisha mfumuko wa bei Zanzibar

Unguja. Mfumko wa bei kwa Januari 2025  Zanzibar umeongezeka na kufikia asilimia 5.27 kutoka asilimia 4.9 iliyorekodiwa Desemba 2024, huku bidhaa za mchele na ndizi zikichangia kwa kiwango kikubwa. Bidhaa zilizosababisha kuongezeka kwa mfumuko wa bei ni pamoja na mchele wa mapembe kwa asilimia 1.5, mchele wa Mbeya asilimia 4.4, mchele wa Jasmin asilimia 0.8,…

Read More

AUNT BETTIE: Mke wangu ananikimbia kisa nimefulia

Ukistaajabu ya Mussa, subiri utastaajabu haya ya kwangu. Anti unaweza kuamini mwanamke niliyezaa naye watoto wawili anavyonitesa kila kukicha anataka kuondoka kwa sababu sina pesa. Siyo kwamba sikuwahi kuwa nazo, nilikuwa nina kipato kizuri tu baadaye nikapata mitihani iliyosababisha niyumbe kiuchumi, jambo ambalo mwenzangu ameligeuza fimbo ananichapia. Nimejitahidi kila mbinu kumrai asiondoke anang’ang’ania, kibaya zaidi…

Read More