Makonda ataka wanaojenga kuwa na mpango wa kupanda miti

Arusha. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ameagiza mamlaka zinazohusika na kutoa vibali vya ujenzi ikiwemo mipango miji, kutokutoa vibali vya ujenzi kwa mtu atakayeomba kibali bila kuonyesha eneo atakalopanda miti ili kupunguza athari za mazingira. Ameagiza Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (Tarura) na Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), kila wanapojenga barabara…

Read More

KenGold yaweka rekodi nyingine Bara

ACHANA na rekodi ya kuburuza mkia katika Ligi Kuu Bara tangu ilipoanza, sare ya bao 1-1 iliyoipata KenGold dhidi ya Tabora United juzi imeifanya kuandika rekodi ya kupata pointi kwa mara ya kwanza msimu huu ugenini, kwani kabla ya hapo ilikuwa haijashinda wala kutoka sare yoyote. Katika mchezo huo ambao KenGold ilitangulia kupata bao la…

Read More

Mtazamo wa wadau magari binafsi kulipia barabara ya BRT

Dar es Salaam. Wakati Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega akiwataka wataalamu wa sekta ya ujenzi kubuni mbinu za kupunguza foleni mijini, akipendekeza kutumiwa njia za Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) na magari binafsi kwa kulipia, baadhi ya wadau wameibua mtazamo tofauti. Ulega alitoa pendekezo hilo Februari 13, 2025 kwenye mkutano wa baraza la wafanyakazi wa wizara…

Read More

Malipo ya vyoo stendi kilio kila kona

Dar/Mikoani. Ni kilio kila kona, wananchi wakilalamikia tozo ya huduma ya choo inayokusanywa kwenye stendi kuu za mabasi za mikoa nchini. Ufuatiliaji uliofanywa na Mwananchi umebaini licha ya wananchi kuridhia malipo ya tozo ya kati ya Sh200 hadi Sh300 kwa huduma kwenye vyoo vya stendi, wanalalamikia tozo zingine wanazotozwa ili kuingia ndani ya maeneo hayo….

Read More

Wamachinga Shinyanga walia ukata, washindwa kulipia vitambulisho

Shinyanga. Wafanyabiashara ndogondogo (wamachinga) mkoani Shinyanga wamesema mzunguko mdogo wa biashara umesababisha washindwe kulipia Sh20, 000 kwa ajili ya vitambulisho vya kidijitali vitakavyowafanya watambulike serikalini. Hadi Februari 14, 2025 ni wamachinga 178 pekee kati ya 28,111 waliopo mkoani Shinyanga waliolipia fedha hiyo na kukabidhiwa vitambulisho hivyo vitakavyodumu kwa miaka mitatu. Akizungumza na Mwananchi leo Jumamosi…

Read More

Kanisa La Nabii Suguye Latimiza Miaka 18 – Global Publishers

Kanisa la WRM Ministries lililo chini ya @prophet_nicolaus_suguye leo linatimiza Miaka18 tangu kuanzishwa kwake huku Prophet Nicholas Suguye akijivunia makubwa ambayo yametendwa na MUNGU kupitia WRM kwa waumini wake. Kanisa limefanya mengi ikiwemo kusaidia Wajane,wazee na watoto yatima,pia wamefanya juhudi mbalimbali katika kuboresha Miundombinu ya barabara ambapo walichagiza kufanywa maboresho ya barabara ya kivule na…

Read More