BILIONI 18 KUJENGA SOKO LA KISASA KIHESA -IRINGA

NA DENIS MLOWE IRINGA ZAIDI ya bilioni 18 zimetengwa kupitia mradi wa Uboreshaji Miji (TACTIC) kwa ajili ya ujenzi wa soko la kisasa katika kata ya Kihesa na ujenzi wa barabara ya Mkimbizi Mtwivila kwa kiwango cha Lami kupitia bajeti ya mwaka wa fedha 2025/2026. Hayo yamezungumzwa na Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya…

Read More

Leo ndio leo uchaguzi AUC Addis Ababa

Addis. Leo ndio siku iliyokuwa ikisubiriwa ya kumpata mwenyekiti mpya wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC) kwa ajili ya kumrithi Mousa Faki, raia wa Chad, mwenyekiti anayemaliza muda wake. Mgombea anayepewa nafasi kubwa ya kushinda ni Raila Amolo Odinga (79), kiongozi wa upinzani nchini Kenya an ayeungwa mkono nan chi za Jumuiya ya Afrika…

Read More

Vita mpya ya Stumai, Jentrix Ligi ya Wanawake

VITA ya ufungaji bora wa Ligi Kuu ya Wanawake (TWPL) inazidi kupamba moto kati ya mastaa wawili, Stumai Abdallah ((JKT Queens) na Jentrix Shikangwa (Simba Queens) huku mbio zao zikikolezwa na takwimu bora kati yao. Wachezaji hao wameendelea kukabana koo kwenye ufungaji wa mabao kila mmoja akikitaka kiatu cha kufumania nyavu kwenye ligi hiyo msimu…

Read More

‘Ukweli mchungu’! Cheki Simba na Yanga zinavyoteseka

IPO methali ya Kiswahili isemayo “Ukweli mchungu” ikiwa na maana kwamba wakati mwingine kusema ukweli huleta maumivu, huzuni au hali ngumu kwa mtu anayekubali au anayeambiwa ukweli husika. Hata hivyo, ingawa ukweli unaweza kuumiza ni bora kuliko kudanganywa au kufichwa ukweli kwa sababu katika muda mrefu ukweli ndiyo unaoleta suluhisho la kudumu. Kunani kwani? Licha…

Read More

Wasio na wapenzi leo siku yao, wajipende

Dar es Salaam. Endapo jana Februari 14 ulikosa raha kwa sababu wengi walisherehekea siku ya wapendanao kwa kupokea zawadi, ujumbe wa mahaba au kwenda matembezi na wenza wao, wakati wewe hauna mwenza, basi leo ndiyo siku yako. Kama ambavyo jana dunia iliadhimisha siku ya wapendanao leo inaadhimishwa siku watu wasiokuwa na wenza, kwa maana nyingine…

Read More