Walimu 1500 wa Mkoa wa Singida wafikiwa na Kliniki ya Samia

Mkuu wa Mkoa wa Singida Halima Dendegu akizungumza na viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) mara baada ya kufungua Kliniki ya Samia ya kutatua changamoto za Walimu katika Kliniki iliyofanyika Singida. Walimu wakiwa katika Kliniki ya kutatua changamoto yao iliyoratibiwa na CWT kwa kushirikiana na Serikali. Baadhi ya walimu wakipata huduma katika dawati la…

Read More

Hakikisha uamuzi wako ufanane na malengo ya kifedha

Kufanya uamuzi sahihi wa kifedha ni hatua muhimu kuelekea kufanikisha malengo yako ya kifedha, iwe ni kununua nyumba, kuanzisha biashara, kuwekeza, au kujiandaa kwa uzeeni. Uamuzi huo unahitaji mpango mzuri, nidhamu na tathmini makini ya vipaumbele vyako vya kifedha. Ili uamuzi uufanyao uendane na malengo yako ya kifedha, unatakiwa kufuata hatua kadhaa, ikiwemo kutambua malengo…

Read More

Kwanini mikataba ya uwekezaji ipitiwe upya Tanzania?

Katika miaka kadhaa iliyopita Tanzania iliingia hasara ya mabilioni ya shilingi iliyolipa kama fidia kwa kampuni mbalimbali kutokana na kushitakiwa kwenye mahakama za usuluhisi za kimataifa kuhusu mikataba ya uwekezaji. Mfano, Oktoba 2023, mgogoro kati ya kampuni ya Winshear Gold Corp ya nchini Canada ulitamatika kwa suluhu nje ya mahakama, baada ya Tanzania kukubali kulipa…

Read More

Mkutano wa kahawa utagusa hivi uchumi wetu

Kahawa ni mojawapo ya bidhaa muhimu zaidi duniani, ikiwa ya nne kwa thamani ya mauzo baada ya mafuta, dhahabu na gesi asilia. Soko la kahawa lina thamani ya Dola za Marekani bilioni 500 (Karibu Sh130 trilioni), huku nchi 50 duniani zikijihusisha na uzalishaji wake. Kati ya hizo, 25 zinapatikana barani Afrika, ikiwemo Tanzania. Hata hivyo,…

Read More

Wakala afunguka kitakacho mng’oa Ngoma Simba

WAKALA wa Fabrice Ngoma, kiungo nyota wa Simba, Faustino Mukandila amesema maslahi mazuri zaidi ambayo kiungo huyo atawekewa mezani ndio yataamua kama ataondoka au kubaki Msimbazi. Mukandila ametoa kauli hiyo baada ya Al Ittihad ya Libya kuonyesha nia ya kuhitaji huduma za nyota huyo wa zamani wa AS Vita Club ya DR Congo na Raja…

Read More

MAWAKALA WA MILKI NCHINI WATAKIWA KUJISAJILI

  Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA Mawakala wa Milki nchini wametakiwa kujisajili katika mfumo wa Wizara ya Ardhi ili kuingia kwenye mfumo rasmi utakaowezesha kutambulika. Hayo yameelezwa leo tarehe 12 Februari 2025 na Mratibu wa Mjadala kuhusu Utambuzi na Usajili wa Wadau wa Sekta ya Milki Bi. Nuru Kimbe, mjadala uliofanyika mkoani Arusha. Amesema, ni…

Read More

NCHIMBI AFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WA NCHI NNE

  Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza na Balozi wa Algeria nchini Tanzania, Mhe. Ahmed Djellal, ambaye alifika ofisini kwa Balozi Nchimbi, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar Es Salaam, kwa ajili ya kuaga, leo Jumatano tarehe 12 Februari 2025. Katibu Mkuu wa Chama…

Read More