Banduka kuzikwa leo Ugweno Kilimanjaro

Moshi. Mwili wa Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, Nicodemus Banduka (80) ambaye utazikwa leo Jumatano Februari 12, 2025  katika makaburi ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mruma, Ugweno, Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro. Banduka ambaye aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali za uongozi  ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na serikalini amefariki dunia Februari…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Congo itazamwe kwa jicho lingine

Kwa muda usiokuwa chini ya miongo mitatu sasa, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo kumekosa utulivu na kushuhudiwa mauaji ya kutisha baina ya vikundi vinavyopingana na Serikali. Katika muongo mmoja uliopita, mapigano makali yamekuwa yakizuka mara kwa mara na kuifanya Afrika na dunia nzima kuhangaika kurejesha hali ya utulivu kama ilivyokuwa pale mwanzoni. Lakini…

Read More