Wasira ajitosa sakata la Dk Malisa kutimliwa CCM
Mwanza. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amemjibu Dk Godfrey Malisa aliyepinga uamuzi wa Mkutano Mkuu wa chama hicho kumpitisha mgombea urais, Samia Suluhu Hassan akieleza ulikiuka katiba ya chama hicho tawala huku ikiwa imepita siku moja tangu avuliwe uanachama. Dk Malisa amefukuzwa uanachama Februari 10, 2025 baada ya kikao cha…