WASICHANA WAMETAKIWA KUSOMA SAYANSI KUKOMBOA JAMII
Farida Mangube Katika kuadhimisho ya siku ya kimataifa ya wanawake na wasichana Katika sayansi, wasichana wametakiwa kutokuogopa kusoma masomo ya sayansi Kwa kuhofia kufanya vibaya na kushindwa kufikia malengo yao Wito huo umetokewa na Wanafunzi wasichana kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) wanaosoma fani mbalimbali, wamesema Masoma ya sayansi ni masomo kama yalivyo…