Aliyewazuia Dube, Mzize afichua siri, amtaja Chama

YALE makali ya washambuliaji wa Yanga, Clement Mzize na Prince Dube waliyoyaonyesha mechi saba zilizopita katika Ligi Kuu Bara, kipindi cha Kocha Sead Ramovic, yamezimwa leo Jumatatu na JKT Tanzania. Waliofanya kazi kubwa ya kuzima ubora huo ni mabeki wa JKT wakiongozwa na nahodha Edson Katanga na Wilson Nangu waliocheza pacha beki wa kati katika…

Read More

ZANZIBAR YAADHIMISHA SIKU YA SHERIA

  Na Rahma Khamis Maelezo     Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuweka misingi Bora ya Haki  ili wananchi kupata haki zao.   Ameyasema hayo Uwanja wa Mahakama ya Mkoa Mazizini Wilaya ya Magharibi ‘B’ katika  kilele cha Maadhimisho ya wiki ya Sheria.    Amesema…

Read More

SERIKALI ZOTE MBILI ZINATAMBUA MCHANGO MKUBWA WA WANATAALUMA YA UKUTUBI – MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amesema Serikali zote mbili  zinatambua mchango mkubwa unaotokana  na wanataaluma ya Ukutubi ambayo inachangia kwa kiasi kikubwa  maendeleo kwa Taasisi za Serikali na Taasisi binafsi hapa nchini. Ameyasema hayo kwa  niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt Hussein Mwinyi…

Read More

SAMIA TEACHERS MOBILE CLINIC YAPAMBA MOTO

Na. Mwandishi wetu, TASINIA YA Walimu wana jukumu kubwa katika jamii kwa kuhakikisha kuwa watoto wanapata elimu bora, malezi, na ujuzi muhimu kwa maisha yao ya baadaye. Kazi yao ni nguzo muhimu katika kujenga kizazi kilichoelimika na jamii yenye maendeleo. Hata hivyo, walimu wanakutana na changamoto nyingi zinazohusiana na mazingira ya kazi, maisha ya kijamii,…

Read More

VIDEO: Baba wa marehemu Dk Magoma afunguka kuhusu mwanaye

Arusha. Baba mzazi wa marehemu Dk Derick Magoma, Jumanne Magoma amesema atamkumbuka mwanaye kwa maono yake makubwa ya kiuchumi katika ngazi ya familia hadi Taifa kwa ujumla. Ameenda mbali zaidi akisema anatamani kungekuwa na uwezekano wa kuchota akili na maono ya marehemu Derick ampandikize mmoja wa ndugu zake ili kuhakikisha yanatimia na kuleta manufaa aliyokuwa…

Read More

Vitunguu Iringa bei juu, wafanyabiashara, wakulima walia

Iringa. Wafanyabiashara wa vitunguu maji mkoani Iringa wamelalamikia kupanda kwa bei ya zao hilo kutoka Sh60,000 hadi kufikia kati ya Sh140,000 na Sh180,000 kwa gunia moja. Wafanyabiashara hao wameeleza kuwa kwa sasa vitunguu maji shambani vinauzwa Sh180,000 ikilinganishwa na bei ya Desemba 2024 ya Sh70,000 kwa gunia na Sh 160,000, bei ya Januari hadi Februari…

Read More

VIDEO: Mahakama ilivyosikiliza maelezo anayedaiwa kumua mumewe

Moshi. Upande wa mashitaka, katika kesi ya mauaji yanayomkabili mkazi wa Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, Beatrice Elias Kway (36) anayedaiwa kumuua mumewe nyumbani kwa mzazi mwenzake, Ephagro Michael Msele (43) umeeleza hatua kwa hatua mauaji hayo yalivyotokea. Mfanyabiashara huyo maarufu mjini hapa, anadaiwa kuuawa usiku wa Mei 25, mwaka 2024 katika Kitongoji cha Pumuani…

Read More