DC Serengeti, mjumbe CCM walivyonusurika kifo ajalini

Musoma. Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa anayewakilisha mkoa wa Mara, Christopher Gachuma pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Kemirembe Lwota wamepata ajali ya gari jana Februari 9, 2025 wakiwa njiani kwenda kumpokea Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen Wasira. Akizungumza leo Jumatatu Februari 10, 2025 Kamanda wa Polisi Mkoa…

Read More

Bodi ya mikopo yatoa Sh8.2 trilioni

Dodoma. Jumla ya Sh8.2 trilioni zimeshatolewa mkopo kwa zaidi ya wanufaika 830,000 wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu. Takwimu hizo zimetolewa jijini Dodoma leo Jumatatu Februari 10, 2025 na Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Carolyne Ndombo wakati akifungua Maadhimisho ya miaka 20 ya Bodi ya Mikopo ya…

Read More

Kada aliyempinga Rais Samia aliwa kichwa

Moshi. Licha ya Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuridhia kwa kishindo, kumpitisha Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea pekee wa chama hicho kwa nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu, kuna makada wameonekana kutoridhika na uamuzi huo wa kidemokrasia. Zipo taarifa kuwa baadhi ya makada wa CCM waliokuwa wakijipanga kuwania…

Read More

Ukandamizaji wa kikatili wa Belarusi unaendelea uchaguzi wa rais – maswala ya ulimwengu

Flashback hadi 2020 maandamano dhidi ya uchaguzi ulio ngumu. Mikopo: Andrew Keymaster/Unsplash Na Ed Holt Jumatatu, Februari 10, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Februari 10 (IPS) – Katika miezi inayoongoza kwa uchaguzi wa rais mwishoni mwa Januari, kiongozi wa mamlaka ya Belarusi Alexander Lukashenko aliamuru kuachiliwa kwa mamia ya wafungwa wa kisiasa. Wachunguzi wengine…

Read More

Ujumbe wa Sugu kwa wanachadema huu hapa

Mbeya. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu amewataka wanachama na wafuasi wa chama hicho kuondoa tofauti zilizokuwepo wakati wa uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti Taifa badala yake waungane kufikia malengo. Uchaguzi wa chama hicho katika nafasi mbalimbali ngazi ya Taifa ulifanyika Januari 21, 2025, ambapo Tundu…

Read More