Benki itakavyodhibiti vikundi hewa mikopo asilimia 10

Dar es Salaam. Kuanza kutumia benki kama njia ya utoaji wa mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri nchini Tanzania imetajwa kuwa mwarobaini wa utoaji wa fedha kwa vikundi hewa uliokuwa ukitokea awali. Hiyo ni kutokana na benki kuwa na ubobezi katika kufanya tathmini kujua uhalali wa kikundi, shughuli wanazozifanya na uwezekano wa kurejeshwa kwa fedha…

Read More

Wananchi Manyara kulipia maji kabla ya matumizi

Babati. Mamlaka ya Maji na usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa) mkoani Manyara imeanza kusambaza mita za maji za malipo kabla ya matumizi ili kuiwezesha jamii kunufaika na huduma hiyo na kuondokana na mrundikano wa madeni. Akizungumza leo Februari 10, 2025 kwenye ziara ya ukaguzi wa majaribio ya mita hizo mkoani Manyara, mwenyekiti wa kamati ya…

Read More

Bosi wa Jatu atoa ombi kortini, agomewa

Dar es Salaam. Mshtakiwa Peter Gasaya (33) ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya JATU PLC, anayekabiliwa na kesi uhujumu uchumi, amemuomba hakimu anayesikiliza kesi yake, asisaini hati yake ya kumtoa gerezani na kumpeleka mahakamani mpaka hapo upelelezi wa kesi yake utakapokamilika. Gasaya anakabiliwa na mashtaka mawili ambayo ni kujipatia Sh5.1 bilioni kwa njia ya…

Read More

Serikali yaachia Sh254 bilioni kulipa makandarasi

Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema Serikali imelipa takribani Sh254 bilioni ndani ya miezi miwili kwa wakandarasi mbalimbali wanaotekeleza miradi ya barabara na madaraja nchini. Kufanyika kwa malipo hayo kwa mujibu wa Ulega ni utejkelezwaji wa maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyetaka makandarasi wote wanaotekeleza kazi mbalimbali walipwe. Hata hivyo, mapema…

Read More

Matengenezo Barabara ya Seronera, uwanja wa ndege yaanza

Serengeti. Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa) limeanza matengenezo makubwa ya barabara muhimu inayotumiwa na watalii kuanzia Seronera hadi Robo. Aidha imeanza kukarabati uwanja wa ndege wa Seronera unaopokea idadi kubwa ya ndege kwa viwanja vilivyopo ndani ya Hufadhi za Taifa, lengo la maboresho likiwa ni kuboresha miundombinu ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Akizungumza…

Read More

Uchunguzi kesi ya jengo lililoporomoka Kariakoo bado

Dar es Salaam. Serikali imesema bado inaendelea na uchunguzi katika kesi ya kuua bila kukusudia inayowakabili wanaodaiwa kuwa ni wamiliki watatu wa jengo lililoporomoka Mtaa wa Mchikichi na Congo, eneo la Kariakoo, wamedai upelelezi haujakamilika. Washtakiwa hao ambao wote ni wakazi wa Jiji la Dar es Salaam ni Leondela Mdete (49) mkazi wa Mbezi Beach,…

Read More

Minziro aona mwanga Pamba Jiji

BAADA ya Pamba Jiji kuvuna pointi sita katika mechi mbili mfululizo mara ya kwanza msimu huu katika Ligi Kuu Bara, kocha wa timu hiyo Fred Felix ‘Minziro’ amewataka wachezaji kuendelea kujitoa ili kuwa mbali na janga la kushuka daraja. Pamba Jiji ilivuna pointi hizo kwa kuzifunga Dodoma Jiji na Azam FC bao 1-0 kila moja…

Read More